Nashukuru kwa kunikaribisha jamvini wana JF japokuwa sikubisha hodi.
Ni matumaini yangu kuwa kutokana na jamvi hili nchi yetu ya Tz itaweka historia ambayo vizazi vijavyo vitaithamini na kuienzi.
Tutaendeleza mapambano ndani ya jamvi na zaidi zaidi tunakoishi ili kuhakikisha kizazi chetu hiki hakipiti kabla tanzania yenye neema kupatikana.
ANY
Tupambane daima, tuungane, si kwa kesi ya Fred pekee bali popote ambapo unyang'au umefanyika kuiba haki na ushindi, kesi za kupinga matokeo ni lazima kufanywa na haki kupatikana
Hapo umelenga. Kwa sasa anaitwa "mtaalam wa open space". Katika jimbo la Segerea, anaongoza kwa kuvamia maeneo ya wazi. Wengi mtakuwa mnajua Nyantale ...
Bwana Quality na wengine ambao wanaweza kututumia mchanganuo ufuatao utatusaidi wengine tulio nje ya Tz kuweza kuwakilisha michango yetu pia.
BANK NAME:
BANK ADDRESS:
ACCOUNT NAME:
SWIFT CODE:
ACCOUNT NUMBER, ACCOUNT TYPE
ROUTING NUMBER & BRANCH NUMBER
Na kama kuna IBAN itasaidia pia japo kuwa nashaka kuwa Tz huwa hatutumii IBAN as such.
Kwa kifupi maelekezo ya kutosha kumwezesha mtu kutuma pesa moja kwa moja kwenye akaunti kutoka nje ya Tz.
Aluta continua...
Tuwekee wazi jinsi ya kuchangia. Wenye akili fupi bado wanaamini dhuluma inaweza kutawala ulimwengu daima. Si kweli. Mwisho wake ukweli utashinda na huyo Mahanga kama hijui mwisho wake hauko mbali
Huyu Mpendazoe alimuiga Augustine Mrema, akapiga kelele bungeni, akajitoa CCM akifikiri atagombea urais Chama cha Jamii matokeo yake kajikuta anahangaika, siasa hesabu. Asingejitoa CCM leo si angeendelea kuwa mbunge, mwacheni aendelee kuumia
Sasa kama mahakama zipo, na hao majaji wanateuliwa na Rais ambae mnasema hakuchaguliwa kwa haki, nashindwa hata kuwaelewa, contradictions tupu. Hamjuwi mlifanyalo mnatapa-tapa kama wafa maji.
Ushauri: kama mnaikubali mahakama basi mkubali na matokeo ya uchaguzi, msipoteze wakati. Mlikuwa na wasimamizi vituoni, hamuwaamini? Na ikiwa hata hao wasimamizi wenu hamuwa amini, ni kweli mtaweza kukubali hukumu zitazotolewa na mahakama ambayo majaji wake wanateuliwa na Rais msiemkubali? Hamueleweki.
Wacheni Jazba, nendeni bungeni mkachape kazi, jifunzeni kwa wenzenu wa CUF, walijaribu mbinu zote hizo, matokeo, kuvunjika kwa amani. Walipoamuwa kukaa chini na kusikilizana, na JMK ni msikivu, wakakubaliana yakaisha na sasa wanakula matunda ya uhuru.
kuchangia, tumia njia zifuatazo:
(i) Akaunti namba 010-00263962 Benki ya posta- Mpendazoe & Friends
(ii) M-Pesa simu namba 0762 926556
(iii) Zap simu namba 0787 638575 na
(iv) Tigo pesa simu namba 0717 050335 au 0656 650334
Huyu Mpendazoe alimuiga Augustine Mrema, akapiga kelele bungeni, akajitoa CCM akifikiri atagombea urais Chama cha Jamii matokeo yake kajikuta anahangaika, siasa hesabu. Asingejitoa CCM leo si angeendelea kuwa mbunge, mwacheni aendelee kuumia
Wewe Dar es Salaam, acha wachange hizo fedha. Kazi ya fedha hizo za deposit ni kuwezesha pia washitakiwa waje walipwe gharama za kesi kama anayeshitaki akishindwa kesi. Itamwuma sana huyo mtu wao kama atatakiwa kuwalipa washitakiwa baada ya kesi yake kutupiliwa mbali kama fedha ni ya kwake. Lakini kwa kuwa atakuwa amechangiwa hizo fedha wala hataona uchungu. Wanaweza kudhani wanamchangia Mpendazoe kumbe wanamchangia Mahanga! Wajinga ndiyo waliwao!Sasa kama mahakama zipo, na hao majaji wanateuliwa na Rais ambae mnasema hakuchaguliwa kwa haki, nashindwa hata kuwaelewa, contradictions tupu. Hamjuwi mlifanyalo mnatapa-tapa kama wafa maji.
Ushauri: kama mnaikubali mahakama basi mkubali na matokeo ya uchaguzi, msipoteze wakati. Mlikuwa na wasimamizi vituoni, hamuwaamini? Na ikiwa hata hao wasimamizi wenu hamuwa amini, ni kweli mtaweza kukubali hukumu zitazotolewa na mahakama ambayo majaji wake wanateuliwa na Rais msiemkubali? Hamueleweki.
Wacheni Jazba, nendeni bungeni mkachape kazi, jifunzeni kwa wenzenu wa CUF, walijaribu mbinu zote hizo, matokeo, kuvunjika kwa amani. Walipoamuwa kukaa chini na kusikilizana, na JMK ni msikivu, wakakubaliana yakaisha na sasa wanakula matunda ya uhuru.
Hapo umelenga. Kwa sasa anaitwa "mtaalam wa open space". Katika jimbo la Segerea, anaongoza kwa kuvamia maeneo ya wazi. Wengi mtakuwa mnajua Nyantale ...
Shwain mwenyewe!!! Nyantare si ya Mahanga huyo unayemchukia!Kumbe Nyantale ni ya kwake???!!!!!! mi sitii mguu pale tena! shwain, bure kabisa!
Jamani mbona mnakuwa nincompoops! Hamtumii hata akili zenu na hata mbayuwayu anawashinda? Mnachoambiwa au kusikia ni vyema mkachanganya na akili zenu kabla ya kukurupuka! Hivi Mahanga ndiye aliyembeba Mpendazoe akamwuingiza ndani ya gari lililokuwa linatafutwa na polisi kwa tuhuma za ujambazi? Naona kwa akili zenu kuanzia sasa Mpendazoe akipata mafua tu au akijikwaa ni Mahanga atakuwa amehusika! Na hata huyo "mke" wake aliyemwacha na kutorokea Darfur bila shaka mtasema Mahanga ndiye kamtorosha! Hata hiyo nyumba yake inayopigwa mnada kwa madeni bila shaka mtasema Mahanga anahusika! By the way, baada ya nyumba yake kupigwa mnada kurudisha madeni, kwanini balance inayobaki (kama itakuwepo) asitumie kwa gharama za kesi badala ya nyie nincompoops kumchangia? Mwaka huu mtamchangia mpaka mkome! Baada ya kumchangia kwenye kesi mjiandae kumchangia kumjengea nyumba baada ya hii ya sasa kupigwa mnada!Well said bro/sisy,magazeti ya leo yamereport kuwa polisi imemsafisha mpendazoe ni baada ya kumsingizia gari la wizi.hii ina maana ilikuwa ni mbinu chafu inayotumiwa na mpinzani wake kumpunguza nguvu ila atashindwa tu na unaibu waziri ataucheua