Changia Mawazo

She. . . She. . .She. . . She. . .
Nashangaa mshkaji wako hujamwita He. . He. . . He
Au yeye hana jinsia?

...lol....nilijua tu, hahaha!


e bana kwa ushauri tu mwambiue jamaa she wote wawili hawamfai kwa sasa,
mpaka atapoamua mwenyewe she yupi anamfil kiukweli.
 
We ndo umenisababishia, kwanza jibu PM yangu!!

Hahahahah. . . lile swali nilishakwambia sijibu bana kakondoo.

@Mtoa mada, unafupisha kwani unachajiwa?

Nwy mwambie huyo mshkaji wako hiyo ndio dawa ya kuwa kicheche. Abaki na huyo huyo anaemjulia asiende kumuumiza dada wa watu tena.
 

...lol....nilijua tu, hahaha!


e bana kwa ushauri tu mwambiue jamaa she wote wawili hawamfai kwa sasa,
mpaka atapoamua mwenyewe she yupi anamfil kiukweli.

Hahahaha. . . Kina she tuna kazi sie.
Alafu Mbu ulitakiwa kusema huyo jamaa hamfai she yeyote na sio wao hawamfai, atulie kwanza.
 
Hahahahah. . . lile swali nilishakwambia sijibu bana kakondoo.

@Mtoa mada, unafupisha kwani unachajiwa?

Nwy mwambie huyo mshkaji wako hiyo ndio dawa ya kuwa kicheche. Abaki na huyo huyo anaemjulia asiende kumuumiza dada wa watu tena.
sawa mkuu! nimekusoma....
 
Mwambie hapunguze mitoko peke yke, kupokea cm za mademu wengne!! kama ni yeye ndo kicheche je!!? nmshauri mzinzi jinsi yakuishi na mtoto mwenye maadili!
 
Mwambie hapunguze mitoko peke yke, kupokea cm za mademu wengne!! kama ni yeye ndo kicheche je!!? nmshauri mzinzi jinsi yakuishi na mtoto mwenye maadili!

sawa mkuu! but je vipi kuhusu kiburi? na ile amani ya kuwa naye haipo tena coz haya yote mbona hayakutokea alipo kuwa na mdada wa mwanzo?
 

Pokea ushauri wangu na upeleke kwa huyo she wake wa kwanza na sio kwa huyo mshikaji wako! Kamwambie she wa kwanza kwamba mshikaji bado hitilafu....anaataka kurudi kwake kwa sababu tu kakumbana na vijimambo kwa she mpya hivyo hata akikubali kurudiana nae basi ajiandae kumwagwa kwa mara ya be!
 
Nimekusoma mkuu!
 
sioni ch kutuumiza kichwa hapa...........anatumia KINGA kwa wote??
 

huyo rafiki yako ana miaka mingapi? anyway,cha msingi mwambie wana JF wanasema hivi; Hujatulia,uko unstable, she wako wa kwanza ulimuacha kwa sababu gani? it means,akitokea mwingine sas, akajishembendua,atamwacha aliyenaye sasa,then akitokea mwingine akajionyesha kuwa na mapenz ya dhati 100 percent, atampiga chini mwingine tena, mwishowe ataumaliza mkoa kama siyo country
Cha msingi atulie na 1, anayempenda kwa dhat,kuheshimiana,n.k,suala la kunogewa ni creativity zenu humo ndani,kama hajui mapenz siyo solution kumkimbia,wewe unayejua mfundishe bac, maisha yasonge. vinginevyo atakuwa anaruka mk*** na kukanyaga m***
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…