Changudoa wanaoleka jamani???


KISWWAHILI CHACKO KINARUKA RUKA KM CHANGU


uyo anaoleka tena inaonekana ana akili sana na ndo mana atak kukupuruka thats y anataka wakapime
ni mwanamke anayejitambua
uyo safi ..CHANGUDOA ANASISITIZA MKAPIME AFU WEWE MTAKATIFU UNAOGOPA KUPIMA....nan changudoa sasa apo?
wakae chn waandikiane M.O.U ....wapime wafany maisha..ni watuliaji since wamaeyachezea sana so no new to em na mchezo wao garantee wa ukweli cz wana uzoefu nao...
njaaa mie ngoja nikapasha kiporo cha wali nazi harage kisamvu peps kwa pemben kitumbo ndiii nilale byeeeeeeeeee!!!!!
 

Umegonga braza, Changu wako aina mbili, kuna yule afanya kwa shida, huyu aoleka, wengine wafanya kama hobby, yaani hawatosheki na Jamaa mmoja, kwao shida si pesa, hawa hawaoleki!!!!!!
 
Wanaoleka sana tena wanakuwa wake wazuri mno.
Unajua mpaka kufikia hapo sababu zipo nyingi lakini kikubwa ni SHIDA sasa kama atapata raha atatulia
 
Jibu mke mwema kutoka kwa bwana
, , m naona huyu bwana amwombe mungu wake amtaje na jina na urefu wake na unene wa kiuno na ukubwa kiau chake kamaanajua amuulize mungu kama ni wa kutoka kwake ama walewale yaani sio....
Jo
kazi kwako best
 
Kati ya changudoa na mchawi, ni yupi unamuogopa zaidi?
Nimeoa mchawi na maisha yetu ni ya raha mustarehe

Bujibuji unamambo sana mkuu , ni yule dem uliye fumaniwa naye sebuleni kwa baba yake nini?
Kweli huyo atkuwa mwanga !
 
Wanaoleka ndio maana wako busy wanatafuta kwa nguvu
 

Nashukuru sana,wewe ni wa pili kuniona nafaa kuwa mke.........ila uzuri zaidi unapenda niwe mke wako wa pili na umevutwa kwa kuona avatar na sio mimi,jibu langu ni kuwa niko tayari kuolewa nawe......tunaweza zungumzia hili zaidi,asante sana.
 
Nashukuru sana,wewe ni wa pili kuniona nafaa kuwa mke.........ila uzuri zaidi unapenda niwe mke wako wa pili na umevutwa kwa kuona avatar na sio mimi,jibu langu ni kuwa niko tayari kuolewa nawe......tunaweza zungumzia hili zaidi,asante sana.

Nina furaha mno kusikia maneno hayo toka kwako. Ipo kwenye thread mbili hii kitu
 
unaposema 'changudoa' unamaanisha wale wanaoouza live, au hata hawa wanaojifanya 'decent' huku wanagawa bure?

wanaogawa bure hao si machangudoa, machangudoa wako kibiashara zaidi, ngoja nikutafutie jina lao nitarudi kukufahamisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…