Takwimu zilizopo hadi sasa zinaonesha Bara Asia kwa idadi kuchanjwa zaidi wakati Afrika tukivuta mkia.
Kwa wastani wa watu kwa bara, Amerika Kaskazini wanaongoza, wakifuatiwa na Ulaya. Sisi kama ilivyo ada tukiendelea kuvuta mkia:
Si kuwa Africa wanajivuta bali nchi zilizoendelea kwa ubinafsi wao, zimedhihirika kujivutia chanjo kwao zaidi.
Kwa mtaji huu ni wazi kuwa zile tantalira zetu za kubeza wafadhili wa chanjo na hata chanjo yenyewe, zilikuwa nyimbo nyingine kama michiriku tu.
Kwamba sasa hivi tuko hapa kuwa kote duniani, wagonjwa wengi wanafanana kwenye jambo moja - "kuwa walikuwa bado hawajapokea chanjo" inapaswa kutufikirisha:
www.nbcnews.com
Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Kukubali mapungufu yetu ni kitendo tu cha maendeleo. Hayupo binadamu aliye mkamilifu. Ilikuwa kama pata potea tu. Tukawa tuli bet fyongo.
Ni wazi kuwa, hata kama ilikuwa kwa nia njema, kuinyanyapaa chanjo tulikuwa tumepotea maboya na kuuvaa mkenge vilivyo.
Ni muhimu Mama Samia sasa akajitokeza bila kuchelewa mno kuisafisha hali nzima ya hewa kuhusiana na chanjo hizi, kazi inapoendelea.
Kutereza si kuanguka, Mola na akampe ujasiri.
Kwa wastani wa watu kwa bara, Amerika Kaskazini wanaongoza, wakifuatiwa na Ulaya. Sisi kama ilivyo ada tukiendelea kuvuta mkia:
Si kuwa Africa wanajivuta bali nchi zilizoendelea kwa ubinafsi wao, zimedhihirika kujivutia chanjo kwao zaidi.
Kwa mtaji huu ni wazi kuwa zile tantalira zetu za kubeza wafadhili wa chanjo na hata chanjo yenyewe, zilikuwa nyimbo nyingine kama michiriku tu.
Kwamba sasa hivi tuko hapa kuwa kote duniani, wagonjwa wengi wanafanana kwenye jambo moja - "kuwa walikuwa bado hawajapokea chanjo" inapaswa kutufikirisha:
Virtually all hospitalized Covid patients have one thing in common: They're unvaccinated
"I haven't had anyone that's been fully vaccinated become critically ill," one doctor said.
Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Kukubali mapungufu yetu ni kitendo tu cha maendeleo. Hayupo binadamu aliye mkamilifu. Ilikuwa kama pata potea tu. Tukawa tuli bet fyongo.
Ni wazi kuwa, hata kama ilikuwa kwa nia njema, kuinyanyapaa chanjo tulikuwa tumepotea maboya na kuuvaa mkenge vilivyo.
Ni muhimu Mama Samia sasa akajitokeza bila kuchelewa mno kuisafisha hali nzima ya hewa kuhusiana na chanjo hizi, kazi inapoendelea.
Kutereza si kuanguka, Mola na akampe ujasiri.