Kwa mujibu wa Waziri Mollel:
1. Suala la ugonjwa wa Corona na tahadhari zake zikiwamo chanjo ni suala la kisayansi ambalo si kila mtu anaweza kuwa na ujuzi nalo.
2. Ni bahati mbaya sana kuwa kuna watu bila ya kuwa na ujuzi nalo wamelivalia njuga na kuendelea kupotosha watu.
Kwa mujibu wa Waziri Mollel watawajibishwa wote wanaosababisha wengine wasio na hatia kuendelea kufa kwa upotoshaji wao kuhusiana na Ugonjwa huu.
Habari njema hii na inyumbulike kuwafikia wote wakiwamo waliowahi kuupotosha umma wakati wowote na kwa namna yoyote kuhusiana na ugonjwa huu na kupelekea vifo.
1. Suala la ugonjwa wa Corona na tahadhari zake zikiwamo chanjo ni suala la kisayansi ambalo si kila mtu anaweza kuwa na ujuzi nalo.
2. Ni bahati mbaya sana kuwa kuna watu bila ya kuwa na ujuzi nalo wamelivalia njuga na kuendelea kupotosha watu.
Kwa mujibu wa Waziri Mollel watawajibishwa wote wanaosababisha wengine wasio na hatia kuendelea kufa kwa upotoshaji wao kuhusiana na Ugonjwa huu.
Habari njema hii na inyumbulike kuwafikia wote wakiwamo waliowahi kuupotosha umma wakati wowote na kwa namna yoyote kuhusiana na ugonjwa huu na kupelekea vifo.