#COVID19 Chanjo ya Corona ina-expire kila baada ya miezi sita (6). Serikali imejipangaje?

Kwani Gwajima anasemaje?
 
😁😁🀣 Ngosha mashine,mhala jomba!
 
🀣 🀣 🀣 🀣 UMESOMA WAPI HIYO.....
 
Ha
U

Unajua death rate ya Malaria kwa mwaka wewe? Corona yako itakaribia hata kwa robo?
Kaa kijiweni kunakokufaa wewe, matusi na kucheza pool,haya ya kitaalamu waachie walioenda shule.
Ambao hujibu kwa hoja siyo upupu Kama wako.
Au wewe utaishi milele?
Hakika
 
... sasa mnapewa bure lakini ikifika huko mbele mtanunua kwa pesa yenu hapo ndo mtawekewa mpk kodi ya kutembea barabarani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hatari sana mkuu.

Na ndio tunapoelekea
 
Kwenye baraza la mawaziri,kuna mawaziri watatu wanaojua "undani" wako. Umeshindwaje kuwauliza au kuwapa angalizo hao!!??
Baraza hilo hilo la mawaziri walihusika na kupitisha kujenga kituo cha mwendo kasi jangwani wakijua kuna mafuriko yalipokuja yaliharib magari yaliyonunuliwa kwa kodi zetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alaf baraza hlo hlo kupitia waziri wa miundombinu and blaa blaa blaa waliamua kujemga daraja la salender lisilo na umuhim wakaacha jangwani tuzunguke pindi mvua inaponyesha
 
Kamanda jadili hoja
 
[emoji2][emoji28][emoji23][emoji1241] nimeipenda hi ukiwauliza mateja ???
 
Je, nikishachanjwa, naweza kuishi bila masharti kama kuvaa barakoa, kukaa kwenye mkusanyiko wa watu?
Je, siwezi kuambukizwa?
Je, nikiupata siwezi kufa kwa korona!?
 
La tunatumia nguvu kudhibiti ugonjwa ulioua wazungu takribani 4m. Wa Afrika laki mbili.
Badala ya kutumia nguvu kwenye Malaria inayoua mamilioni ya wa Afrika?
Kiongozi umenena ukweli usiokubalika na wengi. Tumenunua risasi kuua panya na tunatumia fimbo kupambana na simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…