#COVID19 Chanjo ya Corona ina umuhimu sana, Awamu ya tano ilikosea kwa kutotambua umuhimu wa sayansi

Basi imetosha ni kweli alikosea,sasa tujirekebushe tu na kuendelea na maisha
 
Umemuelewa ?
 
Wazungu wameanza kuja Afrika miaka 1498 akifikia Malindi Kenya. Waafrika walikuwepo na walikuwa wanaishi.

Ukoloni ukaja miaka 1985, waafrika walikuwepo wana walikuwa wanaishi.

Wakati korono inakuja, wazungu walitabiri Waafrika watakufa kweli, tutegemee maiti kuwa zinaokotwa barabarani; hili likabuma.

Leo wazungu wamekuwa wema sana kuleta chanjo!

Nadhani ingekuwa busara kama kabla ya kuchanjwa, zipite maabara zetu pale NIMR zifanyiwe tafiti ya kisayansi na watalam wetu; then tuone kuna content gani ndani yake.

Mbona wao wazungu walijipa muda kutafuta chanjo zao wenyewe?

Kwa kuwa Afrika imeishi na watu wakawepo kwa mpaka miaka akina Vasco da Gama wanakuja, then tukajifunza sayansi yenye kufuata taaluma ambayo wao wameiweka, sio vibaya kutumia maarifa na procedure za kisayansi toka kwao then ndipo nasi tuitumie.

Msingi wa Prof. alieongoza tume kutuambia sio lazima kuchanjwa maana yake kumbe watu wanaweza kuishi bila chanjo.

Maana hata Marekani na kwingineko, kuna sera ya kiafya ambayo haimlazimishi mtu kuchanjwa.

Tunampongeza sana Rais SSH kuruhisu sayansi ichukue nafasi, ila sasa iko haja kutumia vyanzo vya ndani kuwa determinant factor baada ya kutafiti content ya chanjo.
 
Huyo bibi wa afya na jopo lake hawafai kabisa kuwa ofisini hata kwa dak 1
 
Kwa
Kwani tanzania hakuna fulaha?
Mbona uchumi wetu umekua imara tangu corona na tukaingia uchumi wa kati kipindi hicho au wewe ulikuwa kabulini?
Kwani watalii na wageni hawaji tanzania?

Watu hawaendi.madisco na kweye starehe?
Nadhani una ugonjwa unaotokana na makali9 ndo unakusumbua.
 
Kweli kabisa mama anajitahidi lakini nilitazamia wale mawaziri wa afya wa awamu iliyopita wasiwepo kwenye awamu hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…