Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Wajumbe GT's hamjambo?
Mwenye ufahamu anieleweshe; chanjo ya ugonjwa wa Corona 19 ni lazima au la?
Nimeuliza hivyo kwasababu zifuatazo:-
1. Kila mtu anaongea lakwake watu wanashindana kwa kuwafokea Watanzania.
2. Kama chanjo ipo na ukichanjwa hupati, kwanini waliochanjwa wasifurahie maisha na kuwaacha wasiochanjwa? Hofu inatoka wapi wakati umeshajizindika chanjo?
3. Nani atakuwa na uhakika dawa inayochanjwa Ulaya ndiyo hiyo hiyo na Africa?
4. Kwanini chanjo ya Ukimwi mpaka leo haijapatikana? Corona hata mwaka bado imepatikana? Flu imekuwapo miaka yote na inaua huko mamtoni zaidi? Kwanini leo ugonjwa huu unafanywa siasa ya dunia? Nani yupo nyuma ya hili?
Trump alikuwa na mtazamo tofauti ikawa tabu!
Mwenye uelewa anisaidie tuache ushabiki vizazi vyetu vinatutegemea.
Queen Esther
Mwenye ufahamu anieleweshe; chanjo ya ugonjwa wa Corona 19 ni lazima au la?
Nimeuliza hivyo kwasababu zifuatazo:-
1. Kila mtu anaongea lakwake watu wanashindana kwa kuwafokea Watanzania.
2. Kama chanjo ipo na ukichanjwa hupati, kwanini waliochanjwa wasifurahie maisha na kuwaacha wasiochanjwa? Hofu inatoka wapi wakati umeshajizindika chanjo?
3. Nani atakuwa na uhakika dawa inayochanjwa Ulaya ndiyo hiyo hiyo na Africa?
4. Kwanini chanjo ya Ukimwi mpaka leo haijapatikana? Corona hata mwaka bado imepatikana? Flu imekuwapo miaka yote na inaua huko mamtoni zaidi? Kwanini leo ugonjwa huu unafanywa siasa ya dunia? Nani yupo nyuma ya hili?
Trump alikuwa na mtazamo tofauti ikawa tabu!
Mwenye uelewa anisaidie tuache ushabiki vizazi vyetu vinatutegemea.
Queen Esther