mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Wa taarifa yako siyo huyo peke yake anayelalamika kuwa connected kwenye mitandao kupitia chanjo walizopata!!Anawajaza ujinga tu watu wasiojua technology. Hata wewe simu yako unaweza kuibadilisha jina na kuita pfizer au hio Astrazaneca wenye bluetooth ama wifi hotspot.
Okay sawa, na mimi nimepata chanjo nimejaribu check hii video nliokuwekea, nimepitisha mkono tu imetaka ku connect. Nimeamini kama hii ishu ipo kweli.k
Wa taarifa yako siyo huyo peke yake anayelalamika kuwa connected kwenye mitandao kupitia chanjo walizopata!!
Chanjo ya mbinguni acha fixOkay sawa, na mimi nimepata chanjo nimejaribu check hii video nliokuwekea, nimepitisha mkono tu imetaka ku connect. Nimeamini kama hii ishu ipo kweli.
najaribu kuelimisha watu tu..... ili waelewa post yangu ya kwanza ina maana gani..Chanjo ya mbinguni acha fix
Anawajaza ujinga tu watu wasiojua technology. Hata wewe simu yako unaweza kuibadilisha jina na kuita pfizer au hio Astrazaneca wenye bluetooth ama wifi hotspot.
with concrete evidence walete hapa. wakiwa na evidence waeleze. na ww uprove allegation zakok
Wa taarifa yako siyo huyo peke yake anayelalamika kuwa connected kwenye mitandao kupitia chanjo walizopata!!
Mimi sina cha kuprove hapa, bali nimekuwekea huo ushuhuda wa mtu ni juu yako kukubali au kukataa! Mimi sijachanjwa na huo mpango sina labda waniue kwanza ndipo wanichanje.with concrete evidence walete hapa. wakiwa na evidence waeleze. na ww uprove allegation zako