#COVID19 Chanjo ya Coronavirus kuanza kutolewa kwenye Mikoa 10 ya Tanzania bara

Ziletwe tuchanjwe sie
 
Hatimaye mama mwenye sura na roho mbaya ameacha maigizo ya kula matunda yaliyooza na kuhimiza chanjo baada ya mwendakuzimu kufa!
Huyu mama ni mnafiki, kigeugeu, hafai kuwa kiongozi!
Haya matusi kwa kiongozi wetu yanaonyesha huna nidhamu.

Kama kweli wewe ni Afande basi wewe ni msaliti.
 
Haya matusi kwa kiongozi wetu yanaonyesha huna nidhamu.

Kama kweli wewe ni Afande basi wewe ni msaliti.
Msaliti ni ccm na watu wake ambao wamewasaliti watanzania. Wamekosa nidhamu, wana jeuri ya madaraka na wanawadharau wananchi ambao kimsingi ndio wenye nchi.
Hakuna uwazi wala uwajibikaji, nchi inaendeshwa kiimla imla tu, wanaojiita viongozi hawana muongozo wala msimamo unaoeleweka.
Huyo mama enzi za Pombe alithubutu kutuletea maigizo ya kijinga na kipumbavu, eti hatuna corona na ole wake atakayesema ipo. Akawa anajirekodi anakula mananasi yaliyooza anatuhadaa ni kinga ya corona, akaungana na Palamagamba Kibudu kujipiga selfie wakinywa uchafu uliotoka Madagascar na kusafirishwa kwa ndege ya shirika la ndege la serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…