CHANJO YA NDUI.

MwanawaMUNGU41

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,036
Reaction score
737
Hbr za leo wakuu,tafadhali naomba msaada ktk maswala yafuatayo:
1. Je naweza kuwachanja kuku
wangu chanjo ya ndui japo muda
umeshapita?
2. Ni sahihi kuwachanja kuku chanjo
hii wakiwa wanaendelea na dawa
ya amprolium 20%?
3. Mwenye kundi la ufugaji naomba
aniunge.
4. Je naweza kuwapa dawa ya
minyoo siku inayofuata baada ya
kumaliza dawa hii na kuwachanja
new castle baada ya kumaliza
dawa ya minyoo?
Ni hayo tu wakuu tafadhali naomba msaada wenu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali nisaidieni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…