Duh JF kiboko😃Kono la kibabe sana Hilo dadeki sio poa.
Bila shaka hii ni typhoid ya kuku? Some time kinyesi kinakuwa rangi nyeupe kama chokaa??Wanajf siku chache zilizopita nilikuja hapa jukwaani na kuwaomba ushauri kuhusu ugonjwa huu wa vifaranga ambavyo vinaharisha halafu kinyesi kinaganda sehemu yao ya haja kubwa, mlichonishauri nimekifanya yaani kuwapa dawa mlizosema!
Kinachonisikistisha pamoja na hayo yote ndani ya siku hizo vimekufa asilimia 25,ya vifaranga nilivyokuwa navyo!Ili kuepuka hasara hii kipindi kijacho,ninaomba anayeijua chanjo yake anielimishe maana KINGA NI BORA KULIKO TIBA
View attachment 2536569View attachment 2536570
Sawa,Kama ni huo kinga ni ipi?Bila shaka hii ni typhoid ya kuku? Some time kinyesi kinakuwa rangi nyeupe kama chokaa??
Hilo vumbi la mkaa nawapa kwa siku ngapi?Pia nalipima vipi?Kuna dawa inaitwa Tylodox Extra au kama wana zaidi ya wiki twanga mkaa halafu ilo vumbi lake uwachanganyie kwenye maji wawe wanakunywa
Jitahidi kuingia YOU TUBEWanajf siku chache zilizopita nilikuja hapa jukwaani na kuwaomba ushauri kuhusu ugonjwa huu wa vifaranga ambavyo vinaharisha halafu kinyesi kinaganda sehemu yao ya haja kubwa, mlichonishauri nimekifanya yaani kuwapa dawa mlizosema!
Kinachonisikistisha pamoja na hayo yote ndani ya siku hizo vimekufa asilimia 25,ya vifaranga nilivyokuwa navyo!Ili kuepuka hasara hii kipindi kijacho,ninaomba anayeijua chanjo yake anielimishe maana KINGA NI BORA KULIKO TIBA
View attachment 2536569View attachment 2536570
wape chanjo gumboro vifaranga wanapotimiza siku 3Jitahidi kuingia YOU TUBE
TAFUTA MAGONJWA YA KUKU, UTAPATA MENGI YA KUJIFUNZA