Chanjo ya Ukimwi yagunduliwa nchini


Tunaomba Investigators brochure! if you can access some few key key publications!
 
nina mashaka na uelewa wa baadhi ya waandishi wa habari maana ni mara nyingi wanashindwa kutofautisha kati ya uamuzi na hukumu kwa upande wa mahakamani.

tuweni wakweli, nani mwandishi nchi hii anayeweza kuandika scientific papers? Prof bakari angeanza kuongelea mambo ya chi square hii habari hata isingeandikwa. Ulizeni watu wa tanroads huwa wanawaandikia kila kinachotakiwa wakariport lakini taarifa inayotoka ni ile anayofikiria yeye anaweza kuifafanua. Aafu hili gazeti siyo medical journal jamani, yawezekana mwandishi alipewa brief tu ya maendeleo ya utafiti yeye akaamua kupamba habari kwamba kinga imepatikana. Huwezi ongea medical things in a medical way na mtu ambaye hajawahi hata kujishughulisha japo na kusoma mabandiko ya kiafya. Thats why specialist mnaendelea kumuita daktari bingwa!!
 
that is a business secret and cant be detailed, i guess.
 
Mapungufu katika habari hii ni moja ya mifano ya uozo wa tasnia ya habari Tanzania!

Kwa jinsi habari yenye ukubwa kama hii ilivyoandikwa kwenye hilo gazeti; naamini kabisa kuwa mwandishi wa nakala hii, Herieth Makwetta, si mtu aliyebobea kwenye uandishi wa makala za habari za kisayansi au utabibu. Na pasipo shaka, naamini kuna mambo ambayo Prof. Bakari kayaelezea vyema ila yamepewa tafsiri tofauti na mwandishi. Na kama ilikuwa exclusive interview, basi mwandishi (kwa kutoelewa kwake) ameshindwa kumuuliza Prof. mambo mengi ya msingi ambayo yangelifanya makala yake kuwa maridadi na iliyobobea.

Utoaji wa habari wa kiwango duni kama huu nadhani utaendelea kuwepo nchini mwetu hadi pale ma-professionals katika field mbalimbali watakapogeuka kuwa waandishi wa habari.
 
Porojo za Watanzania hizi, Wajerumani na Wamarekani ambao wamebobea kwenye tafiti za kitabibu hawajawahi kuthubutu kusema kwamba wameshapata chanjo ya Ulimwi, sembuse huyu Bakari?

N amsitegemee waandishi kama Kibanda, Ramadhani Semtawa, Maggid Mjengwa kama wanaweza wakaandika habari kwa weredi, wao huongozwa na tumbo.
 
mi nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja kwani kwa mtazamo wangu na jinsi navyo ona mwandishi bora ni yule mwenye taaluma ya uandishi na pia awe na taaluma nyingine ndiyo maana nawakubali akina genelari ulimwengu, nyaronyo kicheere, mwakyembe hata watangazaji wengi wa cnn wana taaluma zaid ya moja. mambo ya kuokota waandishi wa habari vyuo vya mtaani halafu unampa kazi sidhani kama wanakuwa weled mzuri.
 
that is a business secret and cant be detailed, i guess.

not disclosing how the vaccine works can never be a business secret. what remains a secret is the nature and composition of the substances constituting the jab.the interlectual property the patent rights and all other rights can never be affected by explaining how stuff work but how they are made up. there is neither scientific nor business reasons to support such unproffessional press release. if one can no tell how his findings work then how can you justfy your results. the prof. spend most of his time reporting the costs associated with the research and barriers encountered during his work. hivi hii press release ilikuwa ya gharama na vikwazo vya research au juu ya kinga ya HIV/ukimwi?. bila kusema inafanyaje kazi tunajuaje iliwakinga hawa watu wanaotajwa?.
 
Mkuu, jifunze kuwa mnyenyekevu unapokuwa kwenye forum ya great thinkers. Vinginevyo unapoteza oppotunity ya kujifunza. Hasa kama unategemea kuleta humu habari za kunukuu.
 
hii inaonekana mwandishi aliandika ili kuuza gazeti tu na si vinginevyo,kwani hapa sioni hatua kamili ilofikiwa na hawa watafiti zaidi ya kutuambia sijui askari walichukuliwa na mambo mengi ambayo hayaoneshi wazi ni wapi hawa watafiti wamafikia,kwani hawa askari walipofanyiwa majaribio je waliruhusiwa kujamiiana na watu wenye maambukizi na kugundulika kuwa hawajapata hayo maambukizi?tuache kudanganyana hata kama hatujui hiyo taaluma ya utafiti wa madawa,na hii ya uandishi wa habari,hapa mwandishi alisomea chuo cha uchochoroni na ndio maana anaandika asivovijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…