ETT
Member
- Jul 23, 2017
- 28
- 26
Nawasalimuni wote JFDoctors!!!
Somo la 1;Chanjo dhidi ya kuhara!!
Utangulizi
Chanjo, ni muhimu kwa mtoto kwani huandaa kinga ya mtoto mapema, na hivyo kumuepusha na maradhi ambayo yatamkabili siku za mbeleni ndani ya umri wa miaka 5,Chanjo imepunguza sehemu kubwa ya vifo vya watoto chini ya umri wa miaka 5(under five death) !!kwa 81% mwaka 2010
Chanjo ya kuhara!!
Chanjo ya kuhara inaitwa rotavirus vaccine(rotarix), na kuhara kusababishwa na virus aina ya rotavirus!!
Dalili ya kuhara!!
-kutapika
-homa
-kuharisha (maji)
Chanjo hii hutolewa kwa dosi mbili na huanza wiki ya 6 Tangy mtoto kuzaliwa!!
√Dose ya kwanza mtoto hupewa Kuanzia wiki ya 6 na mwisho wiki ya 15 haizidi hapo
√Dose ya pili huanza wiki 4 baada ya ile ya kwanza yaani wiki ya 10 na mwisho wiki 32!!
Chanjo hizi hutolewa katika vituo vya afya nchini
MZAZI; ni jukimu lako hutambua majira na nyakati ambazo unatakiwa kumpeleka mtoto kuhudhuria kituo cha afya kupata chanjo kwa wakati
Kwa kufanya hivi utakuwa umelinda uhai wa mtoto!!
Hii ni kwa wale ambao hudai kuwa hawana MBs za kuingia YouTube [emoji1]
Lakini bado unaweza ingia hapa kwa maelezo zaidi na ukapata masomo mengi zaidi...!!!
Asanteni karibuni kwa nyongeza !!
Somo la 1;Chanjo dhidi ya kuhara!!
Utangulizi
Chanjo, ni muhimu kwa mtoto kwani huandaa kinga ya mtoto mapema, na hivyo kumuepusha na maradhi ambayo yatamkabili siku za mbeleni ndani ya umri wa miaka 5,Chanjo imepunguza sehemu kubwa ya vifo vya watoto chini ya umri wa miaka 5(under five death) !!kwa 81% mwaka 2010
Chanjo ya kuhara!!
Chanjo ya kuhara inaitwa rotavirus vaccine(rotarix), na kuhara kusababishwa na virus aina ya rotavirus!!
Dalili ya kuhara!!
-kutapika
-homa
-kuharisha (maji)
Chanjo hii hutolewa kwa dosi mbili na huanza wiki ya 6 Tangy mtoto kuzaliwa!!
√Dose ya kwanza mtoto hupewa Kuanzia wiki ya 6 na mwisho wiki ya 15 haizidi hapo
√Dose ya pili huanza wiki 4 baada ya ile ya kwanza yaani wiki ya 10 na mwisho wiki 32!!
Chanjo hizi hutolewa katika vituo vya afya nchini
MZAZI; ni jukimu lako hutambua majira na nyakati ambazo unatakiwa kumpeleka mtoto kuhudhuria kituo cha afya kupata chanjo kwa wakati
Kwa kufanya hivi utakuwa umelinda uhai wa mtoto!!
Hii ni kwa wale ambao hudai kuwa hawana MBs za kuingia YouTube [emoji1]
Lakini bado unaweza ingia hapa kwa maelezo zaidi na ukapata masomo mengi zaidi...!!!
Asanteni karibuni kwa nyongeza !!