GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Leo mida hii ya swala ya adhuhuri afisa chanjo amefika msikitini tunapo swalia, nahisi atakuwa sio muislam maana kipindi tunaingia kuswali yeye alibaki nje.
Baada ya swala watu wachache wamejitokeza kuchanja hasa idadi kubwa ikiwa ni wazee wenye umri zaidi ya miaka 50+ na vijana wachache.
Nadhani serikali inawajibika vilivyo kuwafikishia wenye nchi huduma ya chanjo mpaka kwenye nyumba za ibada, hii imekaa vizuri sana na vibaya kwa wale wasiohitaji huduma hii ya chanjo.
Jamani ndugu watanzania jitokezeni mkachanjwe ili kujikinga na uviko19...serikali inawajali na kuwapenda sana..haiwezi kutulisha matangopori mabosi wake..ila mimi sijabahatikiwa kuchanja kwa sababu naogopa sindano..labda ingeletwa chanjo ya vidonge.
Baada ya swala watu wachache wamejitokeza kuchanja hasa idadi kubwa ikiwa ni wazee wenye umri zaidi ya miaka 50+ na vijana wachache.
Nadhani serikali inawajibika vilivyo kuwafikishia wenye nchi huduma ya chanjo mpaka kwenye nyumba za ibada, hii imekaa vizuri sana na vibaya kwa wale wasiohitaji huduma hii ya chanjo.
Jamani ndugu watanzania jitokezeni mkachanjwe ili kujikinga na uviko19...serikali inawajali na kuwapenda sana..haiwezi kutulisha matangopori mabosi wake..ila mimi sijabahatikiwa kuchanja kwa sababu naogopa sindano..labda ingeletwa chanjo ya vidonge.