Elections 2010 Channel Ten: Hongereni, kumnaweza eee!!


Msimu wao wa kuvuna mapesa ndio huu, ukiondoa Komba & Co wengine hawajali vyama kama una pesa hata uwani kwako watatumbuiza
 
Sio channel 10 pekee, ITV na TBC zote hazijagusia kabisa habari ya kuanguka mkulu.

Kama hali ni hiyo, uchaguzi wa mwaka huu, naweza kusema "ngoma inogile". Gazeti la Tanzania Daima nadhani ndilo pekee litatupa habari za upande wa pili.
Ngojeni tu wakitoa leseni Chadema tunaanzisha tv yetu na marufuku kuuza hisa ndo chanzo cha kununuliwa na mafisadi!
 
Mzee mzima kapiga mweleka!!!!!!!!!!! Ha ha ha ha! "Mbona sioni mbona sioni" nasikia ndio yalikua maneno yake wakati akianguka. Mheshimiwa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete Mgombea Urais wa chama cha mapinduzi amepata ugonjwa wa Degedege. Ha ha ha! Mwaka huu tutaona mengi. Nawashauri vyombo vya habari visikubali kurusha "live" mikutano ya ccm kwani vitawatia majaribuni!:A S 8:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…