Elections 2010 Channel Ten na CCM zazindua matangazo ya kumchafua Dr. Slaa!

Elections 2010 Channel Ten na CCM zazindua matangazo ya kumchafua Dr. Slaa!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Leo jioni channel Ten na CCM wamezindua matangazo ya kumnadi JK huku wakichakachua aliyoyasema Dr. Slaa katika kampeni zake.

Jk anaonekana mikutano yake ya mijini mahudhurio watu wamejaa na huku mkutano ya Dr. Slaa kijijini hauna watu kabisa.

Jk akisindikizwa na muziki wa kizazi kipya anaonekana mambo ni shwari lakini huku kwa Dr. Slaa yuko kijijini ambako hata watu ni wachache..

Dr. Slaa anaonekana akitoa ahadi za kufuta kodi ili elimu na afya ziwe bure na mmoja wa mhudhuria mkutano huo ambaye yupo karibu na mtu mwenye gwanda la Chadema ambaye haonekani usoni ikithibisha ya kuwa ni picha za kuchakachuliwa tu alimwuliza swali hivi shughuli za uendeshaji wa serikali zitaendeleaje huku hakuna kodi ambayo inakusanywa.......Tangazo hili halimpi Dr. Slaa nafasi ya kujibu bali anasisitiza tu elimu na afya ndiyo vitakuwa bure ikionyesha ya kuwa hakuna uhusiano wowote ule na swali lililoulizwa....

Tangazo hilo linakwisha kwa kudai hayo yote yalikwisha kujaribiwa na yalishindikana......ikimaanisha ya kuwa huko nyuma serikali iliacha kukusanya kodi lakini iliendelea kutoa huduma za jamii bure na wakashindwa kuendesha serikali jambo ambalo siyo kweli.............................

Tatizo hapa ni kuwa mmiliki wa tangazo hili hajulikani. Kiutaratibu ni haki ya wateja wa Channel Ten kujua ni nani anayegharimia tangazo hili na kwa kiasi gani ana ubia na CCM ili kuwapa nafasi wapigakura waamue wamwamini vipi na wafahamu fedha za tangazo hilo zinatoka wapi........

Kwenye nchi zilizoendelea mmiliki wa tangazo kuonyesha uaminifu wake kwa wasikilizaji hujitokeza na kusema mimi ninaafiki tangazo hili.

Si Channel Ten au CCM ambao wapo tayari kujitokeza hadharani na kujimilikisha tangazo hilo kwa sababu limejaa madudu na linamshushia heshima yule aliyelibuni kwa sababu halisemi ukweli..........mahudhurio yote ya Dr. Slaa hakuna mahali ambapo yamekuwa kiduchu kama kwenye picha hizo.......Na hakuna mahali ambapo Dr. Slaa ameahidi kufuta kodi zote......hivyo tangazo hili linasema uongo........

Chama cho chote ambacho kitataka kuingia madarakani kwa njia ya kuchakachua hata ujumbe wa kampeni za wenziwe hakina uadilifu hata chembe na hakifai kuaminiwa na wapigakura kuliongoza taifa hili.

CCM na Channel Ten wanapaswa wajisafishe kwa kuueleza umma wa watanzania ni nani aliyecheza mchezo mchafu huu na fedha alizozitumia zinatoka wapi........vinginevyo NEC ina haki ya kulifuatilia suala hili pamoja na msajili wa vyama vya siasa...........ili kulinda utu wa mtanzania ambao una maadili yanayoeleweka ya kuheshimiana...........siyo kutungiana uongo

SOURCE: CHANNEL TEN LEO JIONI
 
Nimeiona leo live nkashangaa CCM wamekuwa vioja!
 
Nimeiona leo live nkashangaa CCM wamekuwa vioja!

kwa kweli jambo hili hata mimi mwana CCM damu sikulipenda hili tangazo, linakiuka misingi ya kidemokrasia na tena linaweza kuhatarisha hali ya amani, nafanya mawasiliano na viongozi kujua kama CCM inahusika waliondoe.
 
Hiyo chanel mpaka wenye ungo ndo wanaiona nje ya Dar, so wanajifurahisha. tunataka majibu ya mambo magumu kama suala ya matibau na watoto wetu kusoma, pia tunataka kujua anavyowashugulikie wezi wa kozi zetu na namna tunavyoweza kujenga nyumba bora. bila hayo bado kazi ipo!
 
Kuna kampeni na propaganda ambazo badala ya kumfanya mhusika shujaa/valliant linamfanya coward/enemy. Inaonesha ni jinsi gani kipofu na kipofu wanavyoongozana huku kila mmoja akidai kuiona njia sahihi zaidi ya mwenzie.
 
Hiyo chanel tunajua ya Manji, hayo matangazo hayawezi kuuficha ukweli wa matatizo tuliyonayo vijijini kama vile ukosefu wa nyumba bora, elimu na miundombinu ya kilimo, kwanza hiyo chanel mnaiona nyiye wa mjini huku ushagoo mpaka wenye madishi kwa hiyo kazi bado ipo. Hajajibu hoja ya kuwapigia debe watuhumiwa wa matumizi mabaya ya kodi zetu
 
kwa kweli jambo hili hata mimi mwana CCM damu sikulipenda hili tangazo, linakiuka misingi ya kidemokrasia na tena linaweza kuhatarisha hali ya amani, nafanya mawasiliano na viongozi kujua kama CCM inahusika waliondoe.

I used to think that you were a big pain in the neck. Now I have a much lower opinion of you.
 
Hata kama wangechakachua vipi, hata kama wakipaka matope, wananchi wameshafanya maamuzi. Jioni hii nilikuwa naongea na wamachinga kwenye foleni wanasema mbona j2 mbali hivyo? Wamechoka wamepigika
 
Leo jioni channel Ten na CCM wamezindua matangazo ya kumnadi JK huku wakichakachua aliyoyasema Dr. Slaa katika kampeni zake.

Jk anaonekana mikutano yake ya mijini mahudhurio watu wamejaa na huku mkutano ya Dr. Slaa kijijini hauna watu kabisa.

Jk akisindikizwa na muziki wa kizazi kipya anaonekana mambo ni shwari lakini huku kwa Dr. Slaa yuko kijijini ambako hata watu ni wachache..

Dr. Slaa anaonekana akitoa ahadi za kufuta kodi ili elimu na afya ziwe bure na mmoja wa mhudhuria mkutano huo ambaye yupo karibu na mtu mwenye gwanda la Chadema ambaye haonekani usoni ikithibisha ya kuwa ni picha za kuchakachuliwa tu alimwuliza swali hivi shughuli za uendeshaji wa serikali zitaendeleaje huku hakuna kodi ambayo inakusanywa.......Tangazo hili halimpi Dr. Slaa nafasi ya kujibu bali anasisitiza tu elimu na afya ndiyo vitakuwa bure ikionyesha ya kuwa hakuna uhusiano wowote ule na swali lililoulizwa....

Tangazo hilo linakwisha kwa kudai hayo yote yalikwisha kujaribiwa na yalishindikana......ikimaanisha ya kuwa huko nyuma serikali iliacha kukusanya kodi lakini iliendelea kutoa huduma za jamii bure na wakashindwa kuendesha serikali jambo ambalo siyo kweli.............................

Tatizo hapa ni kuwa mmiliki wa tangazo hili hajulikani. Kiutaratibu ni haki ya wateja wa Channel Ten kujua ni nani anayegharimia tangazo hili na kwa kiasi gani ana ubia na CCM ili kuwapa nafasi wapigakura waamue wamwamini vipi na wafahamu fedha za tangazo hilo zinatoka wapi........

Kwenye nchi zilizoendelea mmiliki wa tangazo kuonyesha uaminifu wake kwa wasikilizaji hujitokeza na kusema mimi ninaafiki tangazo hili.

Si Channel Ten au CCM ambao wapo tayari kujitokeza hadharani na kujimilikisha tangazo hilo kwa sababu limejaa madudu na linamshushia heshima yule aliyelibuni kwa sababu halisemi ukweli..........mahudhurio yote ya Dr. Slaa hakuna mahali ambapo yamekuwa kiduchu kama kwenye picha hizo.......Na hakuna mahali ambapo Dr. Slaa ameahidi kufuta kodi zote......hivyo tangazo hili linasema uongo........

Chama cho chote ambacho kitataka kuingia madarakani kwa njia ya kuchakachua hata ujumbe wa kampeni za wenziwe hakina uadilifu hata chembe na hakifai kuaminiwa na wapigakura kuliongoza taifa hili.

CCM na Channel Ten wanapaswa wajisafishe kwa kuueleza umma wa watanzania ni nani aliyecheza mchezo mchafu huu na fedha alizozitumia zinatoka wapi........vinginevyo NEC ina haki ya kulifuatilia suala hili pamoja na msajili wa vyama vya siasa...........ili kulinda utu wa mtanzania ambao una maadili yanayoeleweka ya kuheshimiana...........siyo kutungiana uongo

SOURCE: CHANNEL TEN LEO JIONI

Hata swali walilouliza hapa kwa mgombea la kisenge tu
 
Kilichonishangaza ni pale alipokua akiongea Sumaye akiwa katika jimbo la SLAA huku wakionyesha picha za sehemu nyingine??? ujinga mwingine bwana
 
Kwa hali ya channel ten na matangazo ya uchafuzi wa wenzao namna hiyo sitashangaa nikiona uvunjifu wa amani ukitokea kwakuwa inaonekana hatuna serikali kabisa Tanzania ila tunavibaraka tu wa Mkwere wasio jua kitu na hatari za uongo wakuwadanganya watanzania.
 
kwa kweli jambo hili hata mimi mwana CCM damu sikulipenda hili tangazo, linakiuka misingi ya kidemokrasia na tena linaweza kuhatarisha hali ya amani, nafanya mawasiliano na viongozi kujua kama CCM inahusika waliondoe.

Mtoto wa Oysterbay nimekukubali kwa hilo...
 
Sisi wataalamu wa computer tunasema wameADOBELISE.Hawana jipya ndio wamemjenga DR.wa ukweli.Si huyo wao wa kichina
 
sasa hivi shekh Mohamed na Gamanywa wanagombeza udini Star TV wanaweka picha za mikutano ya CHADEMA propaganda ambayo itawarudia wenyewe Gamanywa sijui wakristo gani wanaomuheshimu hata sielewi katokea wapi kupe mkubwa
 
Maji ya utosi usije ukashangaa kusikia JK AMEKUFA kesho,pressure inapanda na kushuka hata kile kiti kwenye mdahalo alikuwa anahangaika nadhani haja ilikuwa inataka kumtoka.
 
Leo jioni channel Ten na CCM wamezindua matangazo ya kumnadi JK huku wakichakachua aliyoyasema Dr. Slaa katika kampeni zake.

Jk anaonekana mikutano yake ya mijini mahudhurio watu wamejaa na huku mkutano ya Dr. Slaa kijijini hauna watu kabisa.

Jk akisindikizwa na muziki wa kizazi kipya anaonekana mambo ni shwari lakini huku kwa Dr. Slaa yuko kijijini ambako hata watu ni wachache..

Dr. Slaa anaonekana akitoa ahadi za kufuta kodi ili elimu na afya ziwe bure na mmoja wa mhudhuria mkutano huo ambaye yupo karibu na mtu mwenye gwanda la Chadema ambaye haonekani usoni ikithibisha ya kuwa ni picha za kuchakachuliwa tu alimwuliza swali hivi shughuli za uendeshaji wa serikali zitaendeleaje huku hakuna kodi ambayo inakusanywa.......Tangazo hili halimpi Dr. Slaa nafasi ya kujibu bali anasisitiza tu elimu na afya ndiyo vitakuwa bure ikionyesha ya kuwa hakuna uhusiano wowote ule na swali lililoulizwa....

Tangazo hilo linakwisha kwa kudai hayo yote yalikwisha kujaribiwa na yalishindikana......ikimaanisha ya kuwa huko nyuma serikali iliacha kukusanya kodi lakini iliendelea kutoa huduma za jamii bure na wakashindwa kuendesha serikali jambo ambalo siyo kweli.............................

Tatizo hapa ni kuwa mmiliki wa tangazo hili hajulikani. Kiutaratibu ni haki ya wateja wa Channel Ten kujua ni nani anayegharimia tangazo hili na kwa kiasi gani ana ubia na CCM ili kuwapa nafasi wapigakura waamue wamwamini vipi na wafahamu fedha za tangazo hilo zinatoka wapi........

Kwenye nchi zilizoendelea mmiliki wa tangazo kuonyesha uaminifu wake kwa wasikilizaji hujitokeza na kusema mimi ninaafiki tangazo hili.

Si Channel Ten au CCM ambao wapo tayari kujitokeza hadharani na kujimilikisha tangazo hilo kwa sababu limejaa madudu na linamshushia heshima yule aliyelibuni kwa sababu halisemi ukweli..........mahudhurio yote ya Dr. Slaa hakuna mahali ambapo yamekuwa kiduchu kama kwenye picha hizo.......Na hakuna mahali ambapo Dr. Slaa ameahidi kufuta kodi zote......hivyo tangazo hili linasema uongo........

Chama cho chote ambacho kitataka kuingia madarakani kwa njia ya kuchakachua hata ujumbe wa kampeni za wenziwe hakina uadilifu hata chembe na hakifai kuaminiwa na wapigakura kuliongoza taifa hili.

CCM na Channel Ten wanapaswa wajisafishe kwa kuueleza umma wa watanzania ni nani aliyecheza mchezo mchafu huu na fedha alizozitumia zinatoka wapi........vinginevyo NEC ina haki ya kulifuatilia suala hili pamoja na msajili wa vyama vya siasa...........ili kulinda utu wa mtanzania ambao una maadili yanayoeleweka ya kuheshimiana...........siyo kutungiana uongo

SOURCE: CHANNEL TEN LEO JIONI
Wamechanganyikiwa. Iweje JK anajitangaza kupitia Dr. Slaa na wala si Lipumba au wengineo??? Wamefulia.

Mwaka 2010, ......... HATUDANGANYIKI
 
Back
Top Bottom