Chanzo cha bifu la Gigy Money na Nandy

Hivi vidampa kwanini kuwekeana biff lisilo na maana lol, kila mtu ashinde match zake, khaaaaaaaah
 
Nandi ndo nani!?

Ndio hao wanaoitwa bongo muvi sijui?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwakweli
Kwa ushari Sasa khaa!!
Na mdogo wake ni sawa na bomba yenye koki isiyofunga maji, yeye huongea chochote bila kujali ni wakati gani na yuko na nani!
 
Gigy anatafuta kiki tu,kazidiwa kila kitu,uzuri hadi mapene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…