Chanzo cha bifu la Gigy Money na Nandy

Gigy anatafuta kiki tu,kazidiwa kila kitu,uzuri hadi mapene

Huyu Gigy ni kichaa lakini bifu lao linakuzwa sana na vyombo vya habari hasa wasafi naona wameamua kumpa sana air time Gigy akimtukana mwenzie na sijui lengo lao ni nini kumpa huyu mjinga air time kumzungumzia vibaya mwenzake
 
Nandy si yupo close na clouds,wanajaribu kumshusha
Huyu Gigy ni kichaa lakini bifu lao linakuzwa sana na vyombo vya habari hasa wasafi naona wameamua kumpa sana air time Gigy akimtukana mwenzie na sijui lengo lao ni nini kumpa huyu mjinga air time kumzungumzia vibaya mwenzake
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Huyu naye kapatwa na nini.?

Mwenye ujuzi wa kutoa maelezo katika picha, tafadhali utusaidie...

[emoji23] Dunia haiishi vibweka kila uchao
Nimemwambia hance atoe ufafanuzi ila amegoma kabisa mkuu [emoji12][emoji12]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kile Kiingilishi cha wiki iliyopita bwana hebu kiendelee...

[emoji3][emoji3]
 
Uyo gigi ni zero brain mropokaji anatumwa na wasafi wachafu ...dawa ya wachafu ni kuwanyamazia ...
 
Mbona gigy money analia kabisa kweli nandy kiboko
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Huyu naye kapatwa na nini.?

Mwenye ujuzi wa kutoa maelezo katika picha, tafadhali utusaidie...

[emoji23] Dunia haiishi vibweka kila uchao



Huyo ni Juma Lokole chakula cha WCB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…