Gigy anatafuta kiki tu,kazidiwa kila kitu,uzuri hadi mapene
Huyu Gigy ni kichaa lakini bifu lao linakuzwa sana na vyombo vya habari hasa wasafi naona wameamua kumpa sana air time Gigy akimtukana mwenzie na sijui lengo lao ni nini kumpa huyu mjinga air time kumzungumzia vibaya mwenzake
Nimemwambia hance atoe ufafanuzi ila amegoma kabisa mkuu [emoji12][emoji12][emoji3] [emoji3] [emoji3]
Huyu naye kapatwa na nini.?
Mwenye ujuzi wa kutoa maelezo katika picha, tafadhali utusaidie...
[emoji23] Dunia haiishi vibweka kila uchao
Kile Kiingilishi cha wiki iliyopita bwana hebu kiendelee...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanajuana mkuu wote wapo huko mjini daslamKwani wanafahamiana?
[emoji23]
Kile Kiingilishi cha wiki iliyopita bwana hebu kiendelee...
[emoji3][emoji3]
[emoji3]Wanajuana mkuu wote wapo huko mjini daslam
Huyu ni nani? Ni mbongo?
Ohh kumbe kina nyakati zake... !.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kile sio cha kila muda
Huyo tayariiii[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Huyu naye kapatwa na nini.?
Mwenye ujuzi wa kutoa maelezo katika picha, tafadhali utusaidie...
[emoji23] Dunia haiishi vibweka kila uchao
[emoji23]Huyo tayariiii
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Huyu naye kapatwa na nini.?
Mwenye ujuzi wa kutoa maelezo katika picha, tafadhali utusaidie...
[emoji23] Dunia haiishi vibweka kila uchao