username1
JF-Expert Member
- Jan 14, 2016
- 267
- 253
habari za jumapili wakuu,
naomba kuwasilisha hapa kwenu nikijua wapo wajuvi wa mambo kama akina eiyer,the bold na wengine wengi mseza mkulu.
ninajiuliza hili swala la elimu rasmi je limetoka africa au ulaya esp kwa wa wayunani na wayahudi?
inasemekana mtu wa kwanza kuanzisha elimu rasmi alikuwa socret na wanafunzi wake ni kama plato ambao waliendeleza mfumo wa kuwakusanya watu na kuwafundisha juu ya mambo ya ulimwengu huu.
bila kuasili historia inatueleza pia kuendelea kwa misri mpaka kuwepo kwa kalenda yao hii ikiwa na maana pia misri walikuwa mbele kielimu lakini je hii ni kwa waafrika au ililetwa na wayayhudi wanapokuja kuishi huko?
karibuni kwa michango yenu
naomba kuwasilisha hapa kwenu nikijua wapo wajuvi wa mambo kama akina eiyer,the bold na wengine wengi mseza mkulu.
ninajiuliza hili swala la elimu rasmi je limetoka africa au ulaya esp kwa wa wayunani na wayahudi?
inasemekana mtu wa kwanza kuanzisha elimu rasmi alikuwa socret na wanafunzi wake ni kama plato ambao waliendeleza mfumo wa kuwakusanya watu na kuwafundisha juu ya mambo ya ulimwengu huu.
bila kuasili historia inatueleza pia kuendelea kwa misri mpaka kuwepo kwa kalenda yao hii ikiwa na maana pia misri walikuwa mbele kielimu lakini je hii ni kwa waafrika au ililetwa na wayayhudi wanapokuja kuishi huko?
karibuni kwa michango yenu