We nawe umesoma wakati kiwango cha elimu kimeshuka nini?Convince us how lugha is related 2 dropping of educational standards wadogo wa sasa wengi viraza mpaka wanakera hiyo discussion yako ikibase ktk lugha tu unakuwa unatutania, huwezi fanya research based on 1 factor kuna vitu vingi hujaangalia mf
@dent mwenyewe
@mzazi/mlezi ana influence gani katika elimu ya mtoto
@walimu wakoje si unajua kuna wale wa vodafasta
@facility za kujifunzia
@mitaala/sylabus zikoje
@muundo wa elimu ukoje(mitihani) sisi tulikuwa na paper za maana std 4 n 7, form 2,4 n 6 wakati sasa mambo ni ovyo std 4 hakuna paper,std 7 multiple choice questions,paper form 2 average imepungua toka 30 ambayo ilikuwa ndogo pia sijui sasa ni ngapi, form 4 ndo kama mwaka jana 85% ni div 4 n 0
@wizara husika inaongozwa na waziri gani mf kipindi cha Mungai ndo elimu ilikuwa sifuri kabisa ila yote 9 wadogo wa sasa hawajitumi kabisa na hakuna means za kuwaenforce wasome kama matumizi ya fimbo ambayo siku hizi mtoto anachapwa fimbo zisizozidi 3 na mpaka mwalimu asaini kitabu cha adhabu kwamba anamchapa mtoto, huo ni u**********, im outta here