Si linatokana na "kukoma" yaani "kumaliza" .`Kwa hiyo maana moja ya neno "mngekomaje" labda ni "mngemalizaje" kwa kimombo "how would you complete/finish". Siyo?
Si linatokana na "kukoma" yaani "kumaliza" .`Kwa hiyo maana moja ya neno "mngekomaje" labda ni "mngemalizaje" kwa kimombo "how would you complete/finish". Siyo?
Hujanielewa mkuu,huu ni msemo mpya na una maana tofauti na ulijoizoea.Mfano,leo angekuja Obama Tanzania,wabongo tungepagawaje!Yaan hapo inamaanisha wangepagawa sana kupita kiasi.Sasa nataka kuja chimbuko la hii lugha.