Bima hailipi na huyo welder kwani waliandikiana mikataba kuwa kama moto ukilipua atawajibika kulipa?Wataalamu wa bima watuambie, bima italipa tu au itamdai huyo welder?
Mbona naskia mmiliki ni giza mtoto wa mwanamuziki, dada mmoja alikuwa muhudumu wa ndegeKama kitambaa cheupe ni ile inamilikiwa na yule mzungu anayependa kuvaa mono eye basi wajuvi wa code washaelewa the game behind. Vitu havitokei bahati mbaya.
Kitambaa inamilikiwa na maza flani anaktwa Jesca.Kama kitambaa cheupe ni ile inamilikiwa na yule mzungu anayependa kuvaa mono eye basi wajuvi wa code washaelewa the game behind. Vitu havitokei bahati mbaya.
Hana umaza yule. Ni binti Jesca Mtoto wa yule mzee msanii wa dancing.Kitambaa inamilikiwa na maza flani anaktwa Jesca.
Kitambaa inamilikiwa na JescaKama kitambaa cheupe ni ile inamilikiwa na yule mzungu anayependa kuvaa mono eye basi wajuvi wa code washaelewa the game behind. Vitu havitokei bahati mbaya.
Ameshakuwa lakin maana yupo kwenye early 40’ 😁 sasa si mshangazi huoHana umaza yule. Ni binti Jesca Mtoto wa yule mzee msanii wa dancing.
Oh basi nimechanganya kidogo.Kitambaa inamilikiwa na maza flani anaktwa Jesca.
nimechanganya kidogo . kuna mdau amenisahihisha hapo..Mbona naskia mmiliki ni giza mtoto wa mwanamuziki, dada mmoja alikuwa muhudumu wa ndege