Chanzo cha Ujambazi Tanzania ni hiki

Bowbow

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2007
Posts
541
Reaction score
32
Source ippmedia.com

Mishahara wanayolipa ni kidogo kwa nini wasishirikiane na majambazi kutoa siri za ndani pale walindapo.

Ulinzi ni Jukumu la serikali kama watu wanapenda kuwa na ulinzi binafsi basi waongezewe kiasi maana naamini mlala hoi wa kawaida haadhiriki kabisa bali atafaidi mshahara walau wa 80,000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…