Chanzo cha usafiri wa Umma kuitwa daladala

Chanzo cha usafiri wa Umma kuitwa daladala

Bwana Bongo

Senior Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
146
Reaction score
212
Nimesimuliwa

Chanzo cha usafiri wa umma kuitwa daladala.

Wakongwe muje hapa.

Alinihadithia babu kuwa zamani miaka ya nyuma kidogo kipindi usafiri wa magari kwa umma umeshamili hasa maeneo ya Dar es salaam basi asilimia kubwa ya nauli iliyopagwa na mamlaka husika ilikuwa ni shilingi dala kutokana na kulikuwa na ugeni juu aina ya usafiri wa ummw hata makonda wali makinika kwenye kutaja bei ya usafiri ambayo ilikuwa shilingi dala kuliko kutaja vituo kama siku hizi ambazo tumeshauzoea.

Chimbuko la usafiri huu kuitwa daladala ukaanzia hapa.

Pia ananisimulia kipindi hicho walikuwa wakipanda magari kwa ustarabu na utaratibu wa kupanga mistari vituoni hapakuwa na mambo ya kupenya madilishani kama huku kwetu mbagala[emoji16][emoji16]

Mie naona mfumo huu uludi au we unasemaje[emoji23][emoji23]

#wamakamo
 
Nimesimuliwa

Chanzo cha usafiri wa umaa kuitwa daladala

Wakongwe muje hapa

Alinihadithia babu kuwa zamani miaka ya nyuma kidogo kipindi usafiri wa magari kwa uma umeshamili hasa maeneo ya dar es salaam basi asilimia kubwa ya nauli iliyopagwa na mamlaka husika ilikuwa ni shilingi dala kutokana na kulikuwa na ugeni juu aina ya usafiri wa uma hata makonda wali makinika kwenye kutaja bei ya usafiri ambayo ilikuwa shilingi dala kuliko kutaja vituo kama siku hizi ambazo tumesha uzoea

chimbuko la usafiri huu kuitwa daladala ukaanzia hapa

Pia ananisimulia kipindi hicho walikuwa wakipanda magari kwa ustarabu na utaratibu wa kupanga mistari vituoni hapakuwa na mambo ya kupenya madilishani kama huku kwetu mbagala[emoji16][emoji16]

Mie naona mfumo huu uludi au we unasemaje[emoji23][emoji23]

#wamakamo
Dala inatokana na neno dollar

Zamani dola moja ya Marekani ilikuwa shilingi tano ya kitanzania, sasa nauli ilikuwa shilingi tano a.k.a dola moja
Hivyo gari zikaitwa gari za daladala ama tuseme kiusahihi gari za doladola, ya gari za nauli shilingi tano

Sasa thamani ya fedha ikabadilika, ila jina limebakia,

Nakumbuka miaka ya 2000 mwanzoni dola ilikuwa ishafika thamani ya shilingi elfu moja, (vocha kipindi hichi ziliuzwa kwa dola na sio shilingi vocha ya shilingi elfu moja iliitwa vocha ya dola moja) leo dola ina thamani ya zaidi ya shilingi 2000 za kitanzania
 
Usafiri ulikuwa wa kampuni ya serikali inaitwa Kamata....ilipoanza kuyumba ...watu binafsi wakaruhusiwa ...na nauli ya Kwanza ilikuwa shilingi tano... ndo chanzo cha dala dala
 
Hivi nyinyi, mnajua kuwa kuwa mimi nilikuwa nalipa shilingi 10, wakati nasoma....
Aisee...na nimepigana sana na makonda wa daladala wa Stesheni, Posta ya zamani(Forodhani), mpaka posta mpya...na ugomvi wote nilikuwa naunzisha kituo changu cha mbuyuni, nilikuwa nikishuka tu namtoa mkuku konda mpaka dereva anaiomba msamaha.... 🤣 🤣 🤣 🤣
Duh...maisha ya uanafunzi Dar er Salaam , yalikuwa raha sana.....
 
Nimesimuliwa

Chanzo cha usafiri wa umaa kuitwa daladala

Wakongwe muje hapa

Alinihadithia babu kuwa zamani miaka ya nyuma kidogo kipindi usafiri wa magari kwa uma umeshamili hasa maeneo ya dar es salaam basi asilimia kubwa ya nauli iliyopagwa na mamlaka husika ilikuwa ni shilingi dala kutokana na kulikuwa na ugeni juu aina ya usafiri wa uma hata makonda wali makinika kwenye kutaja bei ya usafiri ambayo ilikuwa shilingi dala kuliko kutaja vituo kama siku hizi ambazo tumesha uzoea

chimbuko la usafiri huu kuitwa daladala ukaanzia hapa

Pia ananisimulia kipindi hicho walikuwa wakipanda magari kwa ustarabu na utaratibu wa kupanga mistari vituoni hapakuwa na mambo ya kupenya madilishani kama huku kwetu mbagala[emoji16][emoji16]

Mie naona mfumo huu uludi au we unasemaje[emoji23][emoji23]

#wamakamo
Umesimuliwa hovyo hovyo au ww umeelewa hovyo hovyo. Uliza vizuri au tafuta uzi wa daladala na ule wa pajero huku ulisimuliwa vizuri sana. Sio ww unaruka ruka na maelezo ya kitoto sanaa.
 
Hivi nyinyi, mnajua kuwa kuwa mimi nilikuwa nalipa shilingi 10, wakati nasoma....
Aisee...na nimepigana sana na makonda wa daladala wa Stesheni, Posta ya zamani(Forodhani), mpaka posta mpya...na ugomvi wote nilikuwa naunzisha kituo changu cha mbuyuni, nilikuwa nikishuka tu namtoa mkuku konda mpaka dereva anaiomba msamaha.... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Duh...maisha ya uanafunzi Dar er Salaam , yalikuwa raha sana.....
Ili nifike shule nilikua nalazimika kuvuka mto kwa kutumia mtumbw


Kesi za mitumbw kupinduliwa na kiboko ilikua kawaida sanna


Alhamdulillah nilimaliza salama
 
Nimesimuliwa

Chanzo cha usafiri wa umaa kuitwa daladala

Wakongwe muje hapa

Alinihadithia babu kuwa zamani miaka ya nyuma kidogo kipindi usafiri wa magari kwa uma umeshamili hasa maeneo ya dar es salaam basi asilimia kubwa ya nauli iliyopagwa na mamlaka husika ilikuwa ni shilingi dala kutokana na kulikuwa na ugeni juu aina ya usafiri wa uma hata makonda wali makinika kwenye kutaja bei ya usafiri ambayo ilikuwa shilingi dala kuliko kutaja vituo kama siku hizi ambazo tumesha uzoea

chimbuko la usafiri huu kuitwa daladala ukaanzia hapa

Pia ananisimulia kipindi hicho walikuwa wakipanda magari kwa ustarabu na utaratibu wa kupanga mistari vituoni hapakuwa na mambo ya kupenya madilishani kama huku kwetu mbagala[emoji16][emoji16]

Mie naona mfumo huu uludi au we unasemaje[emoji23][emoji23]

#wamakamo
Kulikuwa na usemi wa vilakshari hii imekaaje
 
Back
Top Bottom