SAYANSIKIMU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 1,132
- 260
MTAZAMO WANGU Kutokana na tafiti ndogo nilizo ninadhani mwanzo kabisa kabla ya kuwepo chochote kulikuwa hakuna kitu yaani utupu.
Katika huu utupu kulikuwa na Nguvu au nishati isiyo umbwa ya NISHATI YA BARIDI na umeme na nyinginezo
Kwa hiyo hizi nishati zisizo umbwasiku hadi siku zilikuwa katika hali ya mabadiliko jambo liliko sababisha kuongeza ku umbika kwa nishati au vitu vingine vinavyo umbika vyenyewe kulikuwa na vitu ambavyo vilikuwa vinaumbika AUTOMATIC.
.Na hisi kabisa mwanzo kabisa kulikuwa na utupu katika huo utupu kulikuwa na nishati mbalimbali zilizo kuwepo. Muunganiko wa hizo nishati ulisababisha utokeaji wa viumbe mbalimbali
Mimi mwanzoni kabisa ya ulimwengu kulikuwa kuna utupu. Baada ya utupu kukaa kwa muda mrefu combination au reaction ya hizi nishati ambazo ni lazima tu ziwepo (mfano JOTO au BARIDI ni hali ambazo ni lazima tu ziwepo} ziilikuwa ziki sababisha utokeaje wa nishati nyingine na vitu vingine.Hizi NGUVU ZISIZO ONEKANA ambazo ni lazima tu ziwepo ndo zilisababisha viumbe.
Katika huu utupu kulikuwa na Nguvu au nishati isiyo umbwa ya NISHATI YA BARIDI na umeme na nyinginezo
Kwa hiyo hizi nishati zisizo umbwasiku hadi siku zilikuwa katika hali ya mabadiliko jambo liliko sababisha kuongeza ku umbika kwa nishati au vitu vingine vinavyo umbika vyenyewe kulikuwa na vitu ambavyo vilikuwa vinaumbika AUTOMATIC.
.Na hisi kabisa mwanzo kabisa kulikuwa na utupu katika huo utupu kulikuwa na nishati mbalimbali zilizo kuwepo. Muunganiko wa hizo nishati ulisababisha utokeaji wa viumbe mbalimbali
Mimi mwanzoni kabisa ya ulimwengu kulikuwa kuna utupu. Baada ya utupu kukaa kwa muda mrefu combination au reaction ya hizi nishati ambazo ni lazima tu ziwepo (mfano JOTO au BARIDI ni hali ambazo ni lazima tu ziwepo} ziilikuwa ziki sababisha utokeaje wa nishati nyingine na vitu vingine.Hizi NGUVU ZISIZO ONEKANA ambazo ni lazima tu ziwepo ndo zilisababisha viumbe.