Chanzo cha wanafunzi Z'bar kufeli

Invisible

JF Admin
Joined
Feb 26, 2006
Posts
16,286
Reaction score
8,380

Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima
Novemba 19, 2007
 
Duuhh,

Hivi huyu Waziri kweli yuko serious kuzungumza hizi statements.....kama hizi
................Sababu nyingine alizozitaja ni baadhi ya walimu kutokuwa na uwezo na uzoefu wa kufundisha madarasa ya sekondari, hivyo kuchangia kuathiri matokeo ya wanafunzi.

Alieleza kwamba kwa upande wa wanafunzi, imebainika wanafunzi walio wengi wanategemea zaidi kununua mitihani, badala ya uwezo waliokuwa nao na inapotokea kukosa matokeo hayo matokeo yao yanakuwa mabaya zaidi...............


Tuna kaaazi kweli kweli
 
Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima
Novemba 19, 2007

nilidhani watakuja na solution ya kuongeza mishahara kwa walimu, kumbe ndo kwanza wanawatupia lawama walimu, ama kweli agonjwae ndie anaetegemewa kufa.nimewahi kuwaona walimu wa serikali zanzibar wanapokea elfu 50 kwa mwezi.unadhani mwalimu huyu atakuwa ******** ili ategemee ualimu tu? yaguuju!
 
Mimi nafikiri kule napo wanakomalia sna Madrasaa sana wanasahau elimu dunia.Wengi wa kule kwanza wana komaa miaka kibao Madrasa wakikariri juzuu(?)
 
Mimi nafikiri kule napo wanakomalia sna Madrasaa sana wanasahau elimu dunia.Wengi wa kule kwanza wana komaa miaka kibao Madrasa wakikariri juzuu(?)

una ushahidi na unachokiongea?
 

Huyu waziri na walimu wake wooote, hawana nidhamu hata chembe. Wanapaswa kuwajibishwa. Hizo sababu alizotoa ni jinsi gani inaonekana kuwa hayupo makini na wizara yake.
Ovyooo kabisa. Nahisi kichefu chefu kabisa kabisaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…