Chapati mbili na supu original ya pweza kamili

Chapati mbili na supu original ya pweza kamili

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Pweza ni biashara yenye faida hebu Ona huyo pweza nimemnunua 5000 ukimkata vipande vidogo vinatoka vipande zaidi ya 20 unapata 10000 pweza mmoja tu ukimtengenezea utratibu wa mpango wa mradi wenye maendeleo.
 

Attachments

  • _20240622_090857.JPG
    _20240622_090857.JPG
    3 MB · Views: 9
  • DSC_0355.JPG
    DSC_0355.JPG
    2.3 MB · Views: 9
  • _20240622_090857.JPG
    _20240622_090857.JPG
    3 MB · Views: 10
  • DSC_0361.JPG
    DSC_0361.JPG
    3.1 MB · Views: 11
  • DSC_0355.JPG
    DSC_0355.JPG
    2.3 MB · Views: 11
Mtoe Mtoto makamasi kwanza,,Then Mtoe na humu kwenye masosho netiweki au nae ni pweza??
 
Huyu jamaa leo nimejua kuwa ni mwehu. Kaongeza picha nyingine akili yake anatukomoa 😅

Ni moja kati ya Watu wanaodhihirisha ubovu wa fikra za mtu mweusi. Anadhalilisha mtoto ili apate like na komenti
Yote Kheri Tu
 
Bora ninywe chapati na maji kuliko hilo kiumbe ulichokibeba
 
Back
Top Bottom