ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sasa bebi wangu kwenye mitabdao huku umemletea nn?Pweza ni biashara yenye faida hebu Ona huyo pweza nimemnunua 5000 ukimkata vipande vidogo vinatoka vipande zaidi ya 20 unapata 10000 pweza mmoja tu ukimtengenezea utratibu wa mpango wa mradi wenye maendeleo.
Huyo mtoto wetu sisi Kwa sisiSasa bebi wangu kwenye mitabdao huku umemletea nn?
Tena hata kamasi kashindwa kumfuta!Sasa bebi wangu kwenye mitabdao huku umemletea nn?
Muondoe mkuuHuyo mtoto wetu sisi Kwa sisi
Yote Kheri TuHuyu jamaa leo nimejua kuwa ni mwehu. Kaongeza picha nyingine akili yake anatukomoa 😅
Ni moja kati ya Watu wanaodhihirisha ubovu wa fikra za mtu mweusi. Anadhalilisha mtoto ili apate like na komenti