rainy forest
Member
- Sep 15, 2014
- 91
- 41
Naombeni recipe ya chapati nzuri na tamu za kukanda.
Nataka huu uwe mlo wa leo nyumbani kwangu.
Pia ningefurah zaidi kama ukinipatia na mboga gani niitumie kwenye huo mlo. Binafsi nilipanga ziliwe na magarage ya nazi kwa nyama ya kukaanga.
Ijumaa kareem.
asaneteni sana sana nakaa jikon sasa na huu uzi hadi niweze
Chapati mwenzie naharage umepatia hasaa
tena ya nazi za bakharesa..
tafuta.nazi original
tena ya nazi za bakharesa..