maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,422
- 957
Mwaka 2013 pale nchini Uganda, Proscovia Oromait aliweka rekodi ya kuwa The Youngest MP in the World baada ya kuchaguliwa akiwa na miaka 19 tu.
Sasa basi huu ni wakati muafaka wa vijana wetu macelebrity, nazungumzia washkaji zake Le Mutuz yaani Young dee, Young Killer Msodoki, Dogo Aslay na LULU kugombania Ubunge. They are energetic na watasaidia sana kutetea vijana, najua wengine mtakuja na blah blah za elimu lakini msisahau sifa ya Mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu.
Vijana ni taifa la leo sio kesho, tuwasapoti maceleb wetu.
Sasa basi huu ni wakati muafaka wa vijana wetu macelebrity, nazungumzia washkaji zake Le Mutuz yaani Young dee, Young Killer Msodoki, Dogo Aslay na LULU kugombania Ubunge. They are energetic na watasaidia sana kutetea vijana, najua wengine mtakuja na blah blah za elimu lakini msisahau sifa ya Mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu.
Vijana ni taifa la leo sio kesho, tuwasapoti maceleb wetu.
