CHAPUTA wapata pigo, wasema hawataisahau Agosti 19.

CHAPUTA wapata pigo, wasema hawataisahau Agosti 19.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
CHAPUTA (Chama Cha punyeto Tanzania) kimepata pigo baada ya serikali yao pendwa kupiga ban vichocheo vya kazi yao, yaani picha na video za raha utamu.
Wanaendelea kuiunga mkono serikali lakini wameumia kwakuwa hawakupewa muda wa kujiandaa. Wanasema kama wangepewa muda wa angalau masaa 12 wangepakua vichocheo vya kutosha.
Wengine wanasema VPN zao walishazifuta baada ya Twitter kurudi mtaani rasmi.
CHAPUTA wanaisihi serikali iwape angalau masaa 4 tu ya kujihami.
Kauli mbiu ya CHAPUTA kwa wasiojua ni hii;
CHAPUTA: Hakuna ya kutolea, Hakuna stress raha jipe mwenyewe
 
Ngoja aje a
Aroooooh.....

cc Evelyn Salt nasikia hukujiandaa na hili janga

Alietoa wazo la kufungiwa kwa video. Napendekeza apewe uraia Afghanistan 😚 ni katili.
Akawe waziri wa Sheria
2887577_IMG-20210818-WA0009.jpg
 
Mi wala hata huwa sio mdau wa mapilau, huwa hayanishtui kabisa, kwanza ni makitu fake (cheki behind the scenes).....

Ugonjwa wangu chabo, niwasikilize/ niwachungulie watu....ewaaaaaa!!!!
Ha ha! I wish to chabo you..!

Halafu una deni!!
 
Mi wala hata huwa sio mdau wa mapilau, huwa hayanishtui kabisa, kwanza ni makitu fake (cheki behind the scenes).....

Ugonjwa wangu chabo, niwasikilize/ niwachungulie watu....ewaaaaaa!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha
 
Utelezi tunaupata kwa shida na gharama kama huna kitu unapiga self service tu, kama mimi leo sina kitu na Nimenyimwa utelezi na kihamasishi wametia lock 🔒 hii si mtihani hii
Sandali uzi wa pili huu sasa, itakua umeumia sana....
Yafungiwe tu buana kwa ustawi wa vijana wetu
 
Back
Top Bottom