Chargable iron nazipata wapi kwa hapa Tanzania?

Chargable iron nazipata wapi kwa hapa Tanzania?

Luhan12

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2019
Posts
550
Reaction score
723
Niaje waungwana

katika pitapita zangu nimekutana na pasi za umeme ambazo functioning yak ni baada ya kucharge kama simu.

Je, ni wapi kwa hapa bongo ntazipata, na bei yake ipo je?
 
Niaje waungwana..


katika pitapita zangu nimekutana na pasi za umeme ambazo functioning yak ni baada ya kucharge kama simu..

je, ni wapi kwa hapa bongo ntazipata, na bei yake ipo je?
Niliona kwenye group moja whatsapp, za kuagiza kwa oda kutoka chaina (china)

Kwa hapa bongo sijui ni duka gani zipo, ngoja waje wataalam
 
Back
Top Bottom