Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Hafai kuwa mbunge. Ccm bila mizizi hawawezi.Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Nchi imejaa washirika na wachawiDuh. Kumbe Kimei ni Mchawi
Mzizi muhimu mkuu, kule shinyanga bila mzizi unaweza shambuliwa hata na jogoo ukiwa jukwaaniHafai kuwa mbunge. Ccm bila mizizi hawawezi.
Ndo zilimpaisha hata huko CRDB. Wachaga wanapenda sana mambo ya kishetwani.Duh. Kumbe Kimei ni Mchawi
Punguza ujinga wako, hapo alienda eneo linalokaliwa na wamasai na wakampa cheo kuendana na tamaduni za kimasai.Ndo zilimpaisha hata huko CRDB. Wachaga wanapenda sana mambo ya kishetwani.
Pumbavu kabisa, alishikiwa bastola? Kwanini hakukataa mambo hayo ya kishirikina!Punguza ujinga wako, hapo alienda eneo linalokaliwa na wamasai na wakampa cheo kuendana na tamaduni za kimasai.
Nami naliona hilo I seeHafai kuwa mbunge. Ccm bila mizizi hawawezi.