Uchaguzi 2020 Charles Kimei unatuaibisha wana Vunjo

Wanaccm hiyo ni tabia yao toka wali

ref. Dr. Kigwangala
RIP PROF. Majimarefu
 
Nafikiri dr. Kafanya hivo Kama sehemu ya tamaduni za hio jamii na hii ni kutokana na watu wote wa jimbo lake niwapiga kura wake kwa hiyo ni lazima ajue kula na kipofu.
 
Hiyo dini ulijifunzia wapi?! Mungu ni mmoja tu, hakuna Mungu wa kiafrika wala wa kichaga.
Yaani wewe jamaa ni mpuuzi Sana. Huyo Mungu aliyeletwa na mashua miaka 100 tu iliyopita ndo anakufanya uikatae Mila iliyodumu kwenu zaidi maelfu ya miaka? Shwain kabisa. Tena habari ya Mungu mmoja achana nayo huijui. Buddhist Wana Mungu wao, waislamu Wana Allah wao, wayahudi Wana Jehovah wao, wakatoliki Wana Yesu wao Sasa wewe huyo Mungu mmoja unamtoa wapi?
 
Kwani tatizo nini? Hiyo ndio Africanacity ...
 
Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.

View attachment 1557923View attachment 1557925
Mimi natamani nikistaaafu niwe na mradi wangu mdogo tuu wa kunifanya nitoke nyumba hata kwa masaa manne kwenda kuusimamia badala ya kazi za kinitenga na familia uzeeni.
 
Ebintu byona mbiluga owabosco , bosco must go, ccm nimuiba esente za government
 
Hiyo dini ulijifunzia wapi?! Mungu ni mmoja tu, hakuna Mungu wa kiafrika wala wa kichaga.
Dini ya kujifunza tena? Mimi dini yangu nilizaliwa nayo. Wewe endelea kujifunza.
 
Yesu si wa wa-katoliki, wala si Mungu. Mwenyewe kanukuliwa kwenye Biblia mara kadhaa akimwita Mungu baba yake. Mungu ni mmoja tu, muite Jehovah au jina lolote lakini ukweli unabaki kuwa ni mmoja. Unapojaribu kumshirikisha na hivyo vi-mungu vyenu vingine vya ovyo ovyo (impotent gods) ndio waamini wa kweli tunaouita ushirikina.
 
Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.

View attachment 1557923View attachment 1557925
Mkuu Majasho, acha ushamba na kasumba ya kudharau mila, matambiko ni kawaida sana kwa mila zetu nyingi za Kiafrika na imani za kiasili.

Kwa Wachagga, wanaheshimu sana mila, hivyo matambiko ni kitu cha kawaida sana.

P
 
Hahaaa aisee kazi unayo. Endelea na imported Mungu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…