Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa za uchunguzi zinaonyesha kwamba huyu ndio aliongoza taasisi iliyosimamia malipo ya wasaliti , atavuna alichopandaMgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Naona kavalishwa na vaa lenye rangi ya mkosi kwa TanzaniaMgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Saisa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeSikujua Kama huyu Mh niliyempa heshima Sana anaweza kuwa mpuuzi kiasi hiki[emoji33]
Ushirikina si kuua watu. Ushirikina ni kumshirikisha Mungu na hawa miungu wengine. Kimei ni mkristo, anapaswa kuzingatia mafundisho ya kikristo asije akakipatiliza laana kizazi chake au aachane na ukristo azingatie hayo mnayoyaita mila.Kamuua /kamdhuru nani mkuu?
Angekuwa kanisani anafukizwa ubani napo ungesema hivyo?!
tutake radhi. Usi generalise kabila zima. Wengine ni watumishi wa Mungu aliye hai.Ndo zilimpaisha hata huko CRDB. Wachaga wanapenda sana mambo ya kishetwani.
Mbona kama wana mu enjoy???Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Wito kwenu msijaribu kumchanganya Mungu aliye hai na huyo mungu ajulikanaye kama mila na tamaduni.tutake radhi. Usi generalise kabila zima. Wengine ni watumishi wa Mungu aliye hai.
Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Kama filamu ya NigeriaMgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Matambiko hata Lissu kafanyaMgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Ndo hatua za kuishiwa akili hapo ukishaingia chama cha FisiemušMgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925
Mgombea ubunge wa CCM Vunjo, Dr. Charles Kimei anatuaibisha na picha zinazo zunguka kwamba kafanya TAMBIKO ili awe mbunge. Msomi mzima anafanya mambo ya ajabu.
View attachment 1557923View attachment 1557925