Charles Kitima una hoja za kujibu tena haraka iwezekanavyo

Charles Kitima una hoja za kujibu tena haraka iwezekanavyo

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Naomba nikuulize maswali yafuatayo:

1. Kilichosainiwa kwenye HGA kati ya DPW ulikifahamu kabla?

Kama jibu ni ndiyo
2. Kwanini hukurudi kwetu waumini kutueleza yatakayojiri ili kusikia jamii yako ina hoja gani?
3. Kwanini ufanye siri?

Kama jibu ni hapana,
3. Ulienda Ikulu kufanya nini?
4. Huoni kuwa huo ni usaliti mkubwa sana uliotufanyia?
5. Ulipoenda ikulu, una uhakika kuwa umeridhishwa na yatakayoenda kutokea huko mbeleni kwenye IGA?
6. Ni ipi sasa faida ya kuukataa mkataba Kama jamii halafu wewe unarudi kimya kimya kuukubali?

Nikutahadharishe kuwa kuingia ikulu kwa kificho, kuketi kushuhudia ulichopinga kikisainiwa mbele yako basi ukiingia kwenye nyumba ya ibada jua kuwa wewe ni mchafu. Na Kama mkataba ungekuwa msafi basi usingezimwa na alfu lele hulela za uteuzi wa Makonda.
 
Dini kuchanganywa na siasa ni kitu kisichopendeza ingawa siasa na mahubiri ya kiroho vinatendeka ndani ya mwili moja. Kikwete aliibuka mafichoni mbio kutahadharisha umma kuwa dini isichanganywe na siasa....
Juzi kati Samia ameonekana kwenye vikao na mteule wa Vatican ila binafsi sikuelewa kama, maongezi haya yalikuwa ya kidini au kisiasa japo havichangamani?

Kubwa zaidi, Jana kwenye kusaini mikataba mitatu ya bandari wameonekana baadhi ya viongozi wa dini kwenye hafla ya kisiasa tena Jumapili....

Kivutio zaidi ni mtu anaeitwa Kitime!... Waumini tumefanyiwa mchanyato usiokuwa na tafsiri iliyo wazi, .... Nadhani Kama nchi tumekwama, tunahitaji kuijenga hii nchi upya. 🤔
 
Naomba nikuulize maswali yafuatayo:

1. Kilichosainiwa kwenye HGA kati ya DPW ulikifahamu kabla?

Kama jibu ni ndiyo
2. Kwanini hukurudi kwetu waumini kutueleza yatakayojiri ili kusikia jamii yako ina hoja gani?
3. Kwanini ufanye siri?

Kama jibu ni hapana,
3. Ulienda Ikulu kufanya nini?
4. Huoni kuwa huo ni usaliti mkubwa sana uliotufanyia?
5. Ulipoenda ikulu, una uhakika kuwa umeridhishwa na yatakayoenda kutokea huko mbeleni kwenye IGA?
6. Ni ipi sasa faida ya kuukataa mkataba Kama jamii halafu wewe unarudi kimya kimya kuukubali?

Nikutahadharishe kuwa kuingia ikulu kwa kificho, kuketi kushuhudia ulichopinga kikisainiwa mbele yako basi ukiingia kwenye nyumba ya ibada jua kuwa wewe ni mchafu. Na Kama mkataba ungekuwa msafi basi usingezimwa na alfu lele hulela za uteuzi wa Makonda.
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai Bwashee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom