Charles Mwijage: Watanzania hawataki uchumi wa kuwapeleka wachache juu na kuwaacha wengine

Charles Mwijage: Watanzania hawataki uchumi wa kuwapeleka wachache juu na kuwaacha wengine

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mbunge Charles Mwijage amesema Watanzania na Wabunge walio wengi hawataki Uchumi wa kuwapeleka wachache juu na kuwaacha wengine

Ameeleza hayo Bungeni wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo pia amesema sekta za uzalishaji ndizo zinaweza kupeleka Taifa katika Uchumi Jumuishi

Amesema, "Ukiimarisha Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndipo unaweza kuleta Uchumi Jumuishi kwa Watanzania wote. Tujifunze kwa rafiki zetu Uganda na Rwanda"

Ameongeza, "Uganda wanauza Maziwa na bidhaa zake nje na wanapata Dola Milioni 100 kwa mwaka. Tanzania hatupati hata Senti 50, ukiuliza kwanini wanasema ni Sera"
 
... "sera"; sera zinazoongoza nchi ni zipi?
 
Uyo mwijage tangu aliposema

"cherehani 4 tayari Ni kiwanda"

NILIBAKI KUMPUUZA Kama WAPUUZI WENGINE[emoji45]
 
Uyo mwijage tangu aliposema

"cherehani 4 tayari Ni kiwanda"

NILIBAKI KUMPUUZA Kama WAPUUZI WENGINE[emoji45]
Msamehe mzee, alikuwa anacheza ngoma ya mwendazake ili mikono yake na familia iende kinywani.
 
Mbunge Charles Mwijage amesema Watanzania na Wabunge walio wengi hawataki Uchumi wa kuwapeleka wachache juu na kuwaacha wengine

Ameeleza hayo Bungeni wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo pia amesema sekta za uzalishaji ndizo zinaweza kupeleka Taifa katika Uchumi Jumuishi

Amesema, "Ukiimarisha Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndipo unaweza kuleta Uchumi Jumuishi kwa Watanzania wote. Tujifunze kwa rafiki zetu Uganda na Rwanda"

Ameongeza, "Uganda wanauza Maziwa na bidhaa zake nje na wanapata Dola Milioni 100 kwa mwaka. Tanzania hatupati hata Senti 50, ukiuliza kwanini wanasema ni Sera"
Alikuwa waziri wa biashara na viwanda je alisaidia nini sekta ya maziwa
 
Mbunge Charles Mwijage amesema Watanzania na Wabunge walio wengi hawataki Uchumi wa kuwapeleka wachache juu na kuwaacha wengine

Ameeleza hayo Bungeni wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo pia amesema sekta za uzalishaji ndizo zinaweza kupeleka Taifa katika Uchumi Jumuishi

Amesema, "Ukiimarisha Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndipo unaweza kuleta Uchumi Jumuishi kwa Watanzania wote. Tujifunze kwa rafiki zetu Uganda na Rwanda"

Ameongeza, "Uganda wanauza Maziwa na bidhaa zake nje na wanapata Dola Milioni 100 kwa mwaka. Tanzania hatupati hata Senti 50, ukiuliza kwanini wanasema ni Sera"
Mwambieni hana akili
 
When are we going to take charge of our destination, as a country? Tuamke sasa. Tunaisubiri serikali kwenye kila kitu?
 
"Charles Mwijage, Charles tiseba na Charles kitwanga. Majina yaliyo mshinda JPM Enzi za uhai wake"
 
Duuh kumbe yupo Chalesi.....mtaalamu wa viwanda, cherehani 4 ni investment ya kiwanda cha mamilioni
 
Mbunge Charles Mwijage amesema Watanzania na Wabunge walio wengi hawataki Uchumi wa kuwapeleka wachache juu na kuwaacha wengine

Ameeleza hayo Bungeni wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo pia amesema sekta za uzalishaji ndizo zinaweza kupeleka Taifa katika Uchumi Jumuishi

Amesema, "Ukiimarisha Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndipo unaweza kuleta Uchumi Jumuishi kwa Watanzania wote. Tujifunze kwa rafiki zetu Uganda na Rwanda"

Ameongeza, "Uganda wanauza Maziwa na bidhaa zake nje na wanapata Dola Milioni 100 kwa mwaka. Tanzania hatupati hata Senti 50, ukiuliza kwanini wanasema ni Sera"
Amesema, "Ukiimarisha viwanda vyenye cherehani kutoka cherehani 1 hadi 4, Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndipo unaweza kuleta Uchumi Jumuishi kwa Watanzania wote. Tujifunze kwa rafiki zetu Uganda na Rwanda"
 
Mbunge Charles Mwijage amesema Watanzania na Wabunge walio wengi hawataki Uchumi wa kuwapeleka wachache juu na kuwaacha wengine

Ameeleza hayo Bungeni wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo pia amesema sekta za uzalishaji ndizo zinaweza kupeleka Taifa katika Uchumi Jumuishi

Amesema, "Ukiimarisha Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndipo unaweza kuleta Uchumi Jumuishi kwa Watanzania wote. Tujifunze kwa rafiki zetu Uganda na Rwanda"

Ameongeza, "Uganda wanauza Maziwa na bidhaa zake nje na wanapata Dola Milioni 100 kwa mwaka. Tanzania hatupati hata Senti 50, ukiuliza kwanini wanasema ni Sera"
Huyo mbunge Mwijage mpenzi wa JPM naye ni mtu wa wanyinge?
 
Mbunge Charles Mwijage amesema Watanzania na Wabunge walio wengi hawataki Uchumi wa kuwapeleka wachache juu na kuwaacha wengine

Ameeleza hayo Bungeni wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo pia amesema sekta za uzalishaji ndizo zinaweza kupeleka Taifa katika Uchumi Jumuishi

Amesema, "Ukiimarisha Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndipo unaweza kuleta Uchumi Jumuishi kwa Watanzania wote. Tujifunze kwa rafiki zetu Uganda na Rwanda"

Ameongeza, "Uganda wanauza Maziwa na bidhaa zake nje na wanapata Dola Milioni 100 kwa mwaka. Tanzania hatupati hata Senti 50, ukiuliza kwanini wanasema ni Sera"
Tanzania ni nchi nzuri sana ina raslimali kibao lakini ndo hivyo.
 
Back
Top Bottom