Pre GE2025 Charles Odero: Mbowe na Lissu watakuwa salama, wasiogope

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
"Mbowe na Lissu watakuwa salama…wasiogope" Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ngazi ya Taifa, Charles Odero akizungumza dakika chache kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa chama hicho, akiwatoa wasiwasi wagombea wenza kuwa watakuwa salama baada ya yeye kushika hatamu ya kukiongoza chama hicho.
Your browser is not able to display this video.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
 
Mkuu ukimuona mwambie "Ubwabwa wa kushiba huonekana kwenye sahani"
 
Ili mambo yasiwe mabaya. Unaweza kushangaa akashinda odero. Japo binasifi ningependa ashinde mzalendo na mwanahatakati wa kweli naye ni LISU.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbarki Tundu LISU.
 
Huyu naye aliwaza ushindi kumbe!

Hii ndo wanaita mental masturbation
 
Kila anayeshindana anategemea kushinda.
Kuna mdau hapo juu Craig kasema wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani.

Odero kutegemea kushinda uenyekiti CDM ni sawa na Rungwe Spunda kutegemea kushinda urais wa Tz mbele ya wagombea wa CCM, CDM, na hata ACT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…