OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
View: https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs
Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako"
Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au......?
Mtangazaji: Role model wako
Chasambi: Kwenye timu yangu
Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa
Chasambi: Kwenye timu yangu hapana, hakuna (anatikisa kichwa kukataa)
Mtangazaji: Kokote
Yaani timu nzima hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo. Yaani timu nzima ikiwepo Tshabalala na Kapombe? Maana hapa hukuulizwa kuhusu nafasi anayocheza. Yaani hata watu wanaopambana kufa na kupona kina Fabrice Ngoma sio kioo kwake. Hata kama, ndio utaje mchezaji wa Yanga?!!!! Iko wapi Ubaya Ubwela.
Amewadharau wachezaji wenzake wote kwa kusema hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo na hakuna anachojifunza kwao.
Dogo nafikiri Simba na Yanga hazijui vizuri