Chasambi katukosea heshima wana Simba, atuombe msamaha

Chasambi katukosea heshima wana Simba, atuombe msamaha

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

View: https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs

Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako"
Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au......?
Mtangazaji: Role model wako
Chasambi: Kwenye timu yangu
Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa
Chasambi: Kwenye timu yangu hapana, hakuna (anatikisa kichwa kukataa)
Mtangazaji: Kokote

Yaani timu nzima hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo. Yaani timu nzima ikiwepo Tshabalala na Kapombe? Maana hapa hukuulizwa kuhusu nafasi anayocheza. Yaani hata watu wanaopambana kufa na kupona kina Fabrice Ngoma sio kioo kwake. Hata kama, ndio utaje mchezaji wa Yanga?!!!! Iko wapi Ubaya Ubwela.

Amewadharau wachezaji wenzake wote kwa kusema hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo na hakuna anachojifunza kwao.

Dogo nafikiri Simba na Yanga hazijui vizuri
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs

Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako"
Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au......?
Mtangazaji: Role model wako
Chasambi: Kwenye timu yangu
Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa
Chasambi: Kwenye timu yangu hapana, hakuna (anatikisa kichwa kukataa)
Mtangazaji: Kokote

Yaani timu nzima hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo. Yaani timu nzima ikiwepo Tshabalala na Kapombe? Maana hapa hatuulizwa kuhusu nafasi anayocheza. Yaani hata watu wanaopambana kufa na kupona kina Fabrice Ngoma sio kioo kwake. Hata kama, ndio utaje mchezaji wa Yanga?!!!! Iko wapi Ubaya Ubwela.

Amewadharau wachezaji wenzake wote kwa kusema hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo na hakuna anachojifunza kwao.

Dogo nafikiri Simba na Yanga hazijui vizuri

Ntashangaa simba kama wataendelea nae huyo mwendawazimu,wampigishe benchi hadi atie akili,

Inaonekana dogo hana shule wala upeo ni mlopokaji tu
 
Siwezi kumuhukumu Chasambi kutokana na umri wake bado anakua.
Wakulaumiwa ni viongozi wa Simba wanaoruhusu wachezaji kuongea na vyombo vya habari bila utatatibu maalumu. Vyombo vya habari vipi kibiashara na hapo waneshatengeneza habari.
Umri unaweza kuchangia ila ni kama alidhamiria kutoa jibu hilo lenye ukakasi.

Niliwahi kusema kitengo cha media pale Simba kiongezewe watu. Mchezaji au kiongozi wa Simba akihojiwa inabidi mtu wao wa media awepo pale. Kama kuna swali hatakiwi kujibu anamzuia. Kama kuna jibu amepuyanga kama hili, anamwambia mwandishi hilo jibu asilitumie.
 
Ntashangaa simba kama wataendelea nae huyo mwendawazimu,wampigishe benchi hadi atie akili,

Inaonekana dogo hana shule wala upeo ni mlopokaji tu
Duuh! Maneno yote hayo kisa kumkubali mchezaji wa yanga.kama viongozi watatekeleza,basi Tanzania tunasafari ndefu sana ktk soka.
 
Mi sioni shida kwenye hilo.

Idol si lazima atoke kwenye timu unayoichezea.

Hii imekuzwa na kufanywa kuwa agenda kuu na Ally Kamwe kwa jinsi alivyoiwekea michambo.

Misimu mitatu iliyopita mchezaji wao Tshishimbi aliwahi kusema wazi kuwa anaona yeye akicheza kwenye kikosi cha Simba ata form partnership nzuri kati yake na Chama na kumfanya awe bora zaidi ya hivi sasa ambapo yupo Yanga.

Yale yalikua ni maoni binafsi lakini hakuna kiongozi yeyote wa Simba aliyetumia ile clip kuchochea kui undermine Yanga.

Hata Max naye huyo kuna video nimeanza kuiona baada ya clip ya Chasambi kwenda viral.

Max anamtaja Feisal na Awesu kama watu anaowakubali.

Na hii clip ndio iliyoanza kutoka kabla ya Chasambi lakini hakuna aliyewahi kuiona hapo kabla kwasababu viongozi wa Simba hawakujiweka kwenye nafasi ya kufanya utoto.

Chasambi angesema idol wake ni Ronaldo naamini isingekuwa ishu. Ishu ni kumtaja Max ambaye ni mchezaji wa Yanga.

Haipaswi kuwa hivyo
 
Siwezi kumuhukumu Chasambi kutokana na umri wake bado anakua.
Wakulaumiwa ni viongozi wa Simba wanaoruhusu wachezaji kuongea na vyombo vya habari bila utatatibu maalumu. Vyombo vya habari vipi kibiashara na hapo waneshatengeneza habari.
Kwa hili namtetea ndugu mwandishi maana dogo aliulizwa swali la kawaida tu tena ajibu in general nani ni role model wake yeye dogo akajifanya kumuuliza mtangazaji kwenye timu yangu halafu anaishia kusema kwenye timu yangu hakuna ila kwenye ligi ni max.
Sasa alishindwa nn kujibu max toka awali na swali lilikuja hivyo? Huoni kama alidhamiria zaidi kutoa hisia zake kuwa hamna mtu anayemkubali Simba kuliko hata kumtaja huyo role model wake?
Yeye ndio kalitengeneza swali vile anataka kulijibu na akalijibu
 
Umri unaweza kuchangia ila ni kama alidhamiria kutoa jibu hilo lenye ukakasi.

Niliwahi kusema kitengo cha media pale Simba kiongezewe watu. Mchezaji au kiongozi wa Simba akihojiwa inabidi mtu wao wa media awepo pale. Kama kuna swali hatakiwi kujibu anamzuia. Kama kuna jibu amepuyanga kama hili, anamwambia mwandishi hilo jibu asilitumie.
Kwa namna swali lilivyoulizwa na alivyokuja kujibu ni wazi alidhamiria alichokijibu.
 
Mi sioni shida kwenye hilo.

Idol si lazima atoke kwenye timu unayoichezea.

Hii imekuzwa na kufanywa kuwa agenda kuu na Ally Kamwe kwa jinsi alivyoiwekea michambo.

Misimu mitatu iliyopita mchezaji wao Tshishimbi aliwahi kusema wazi kuwa anaona yeye akicheza kwenye kikosi cha Simba ata form partnership nzuri kati yake na Chama na kumfanya awe bora zaidi ya hivi sasa ambapo yupo Yanga.

Yale yalikua ni maoni binafsi lakini hakuna kiongozi yeyote wa Simba aliyetumia ile clip kuchochea kui undermine Yanga.

Hata Max naye huyo kuna video nimeanza kuiona baada ya clip ya Chasambi kwenda viral.

Max anamtaja Feisal na Awesu kama watu anaowakubali.

Na hii clip ndio iliyoanza kutoka kabla ya Chasambi lakini hakuna aliyewahi kuiona hapo kabla kwasababu viongozi wa Simba hawakujiweka kwenye nafasi ya kufanya utoto.

Chasambi angesema idol wake ni Ronaldo naamini isingekuwa ishu. Ishu ni kumtaja Max ambaye ni mchezaji wa Yanga.

Haipaswi kuwa hivyo
Ishu sio kumtaja Max ishu kusema kwenye timu yangu ya Simba hakuna ninayemtizama na kujifunza kwake (Role Model)
Angejibu tu Max kwenye jibu la kwanza bila kudharau wachezaji wenzake ingekaa poa sana nadhani wala kusingekuwa na mijadala kama hii
 
Back
Top Bottom