Sidhani kama issue hapo ni kumtaja Max, halo mkanganyiko umekuja alipokazia kwamba "kwenye timu yangu? Aaaah, hakuna!" Yaani angeenda moja kwa moja kwenye jibu kusingekuwa na sintofahamu hii! Hapo mashabiki wa Makolo wameumia kwa kukandiwa wachezaji wao! Laiti angesema tu, role model wangu ni Max hakuna mtu angejali!Chasambi angesema idol wake ni Ronaldo naamini isingekuwa ishu. Ishu ni kumtaja Max ambaye ni mchezaji wa Yanga.
Bila shaka mlitaka ajibu MAKANDE wakati yeye anapenda PILAUKwa namna swali lilivyoulizwa na alivyokuja kujibu ni wazi alidhamiria alichokijibu.
Simba haipendi watu wakweli, imejaa wanafiki, wazandiki, mburulaz na mbumbumbu
View: https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs
Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako"
Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au......?
Mtangazaji: Role model wako
Chasambi: Kwenye timu yangu
Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa
Chasambi: Kwenye timu yangu hapana, hakuna (anatikisa kichwa kukataa)
Mtangazaji: Kokote
Yaani timu nzima hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo. Yaani timu nzima ikiwepo Tshabalala na Kapombe? Maana hapa hukuulizwa kuhusu nafasi anayocheza. Yaani hata watu wanaopambana kufa na kupona kina Fabrice Ngoma sio kioo kwake. Hata kama, ndio utaje mchezaji wa Yanga?!!!! Iko wapi Ubaya Ubwela.
Amewadharau wachezaji wenzake wote kwa kusema hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo na hakuna anachojifunza kwao.
Dogo nafikiri Simba na Yanga hazijui vizuri
Yuko sawa ,hapo shida ni nini ni kweli huyo ndo anayemvutia kiuchezaji
View: https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs
Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako"
Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au......?
Mtangazaji: Role model wako
Chasambi: Kwenye timu yangu
Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa
Chasambi: Kwenye timu yangu hapana, hakuna (anatikisa kichwa kukataa)
Mtangazaji: Kokote
Yaani timu nzima hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo. Yaani timu nzima ikiwepo Tshabalala na Kapombe? Maana hapa hukuulizwa kuhusu nafasi anayocheza. Yaani hata watu wanaopambana kufa na kupona kina Fabrice Ngoma sio kioo kwake. Hata kama, ndio utaje mchezaji wa Yanga?!!!! Iko wapi Ubaya Ubwela.
Amewadharau wachezaji wenzake wote kwa kusema hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo na hakuna anachojifunza kwao.
Dogo nafikiri Simba na Yanga hazijui vizuri
Ni ukweli mtupu.
View: https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs
Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako"
Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au......?
Mtangazaji: Role model wako
Chasambi: Kwenye timu yangu
Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa
Chasambi: Kwenye timu yangu hapana, hakuna (anatikisa kichwa kukataa)
Mtangazaji: Kokote
Yaani timu nzima hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo. Yaani timu nzima ikiwepo Tshabalala na Kapombe? Maana hapa hukuulizwa kuhusu nafasi anayocheza. Yaani hata watu wanaopambana kufa na kupona kina Fabrice Ngoma sio kioo kwake. Hata kama, ndio utaje mchezaji wa Yanga?!!!! Iko wapi Ubaya Ubwela.
Amewadharau wachezaji wenzake wote kwa kusema hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo na hakuna anachojifunza kwao.
Dogo nafikiri Simba na Yanga hazijui vizuri
Naunga mkono hojaMi sioni shida kwenye hilo.
Idol si lazima atoke kwenye timu unayoichezea.
Hii imekuzwa na kufanywa kuwa agenda kuu na Ally Kamwe kwa jinsi alivyoiwekea michambo.
Misimu mitatu iliyopita mchezaji wao Tshishimbi aliwahi kusema wazi kuwa anaona yeye akicheza kwenye kikosi cha Simba ata form partnership nzuri kati yake na Chama na kumfanya awe bora zaidi ya hivi sasa ambapo yupo Yanga.
Yale yalikua ni maoni binafsi lakini hakuna kiongozi yeyote wa Simba aliyetumia ile clip kuchochea kui undermine Yanga.
Hata Max naye huyo kuna video nimeanza kuiona baada ya clip ya Chasambi kwenda viral.
Max anamtaja Feisal na Awesu kama watu anaowakubali.
Na hii clip ndio iliyoanza kutoka kabla ya Chasambi lakini hakuna aliyewahi kuiona hapo kabla kwasababu viongozi wa Simba hawakujiweka kwenye nafasi ya kufanya utoto.
Chasambi angesema idol wake ni Ronaldo naamini isingekuwa ishu. Ishu ni kumtaja Max ambaye ni mchezaji wa Yanga.
Haipaswi kuwa hivyo
Sasa kama hamna, aseme uongo kukuridhisha?
View: https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs
Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako"
Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au.?
Mtangazaji: Role model wako
Chasambi: Kwenye timu yangu
Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa
Chasambi: Kwenye timu yangu hapana, hakuna (anatikisa kichwa kukataa)
Mtangazaji: Kokote
Yaani timu nzima hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo. Yaani timu nzima ikiwepo Tshabalala na Kapombe? Maana hapa hukuulizwa kuhusu nafasi anayocheza. Yaani hata watu wanaopambana kufa na kupona kina Fabrice Ngoma sio kioo kwake. Hata kama, ndio utaje mchezaji wa Yanga?!!!! Iko wapi Ubaya Ubwela.
Amewadharau wachezaji wenzake wote kwa kusema hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo na hakuna anachojifunza kwao.
Dogo nafikiri Simba na Yanga hazijui vizuri
Kwani yeye angesema anamkubali max kungekuwa na shida gani, kuliko kuweka maneno mengine, huko nyuma aliwahi mtaja Max na hakukuwa na haya manenoUhuru wa kujieleza uzingatiwe...Mim ni yanga lakini namkubali sana Muhammed Hussein Zimbwe junior...
Maisha sio magumu kiasi hicho mkuu
Mambo kayakuza mwenyeweWabongo mnakuza mambo
Acheni ushamba na upumbavu nyinyi. Huyo Maxi Nzengeli alipohojiwa mchezaji gani anayempenda akamtaja Awesu Awesu wa Simba, mbona wanayanga hawakumshambulia?.
View: https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs
Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako"
Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au......?
Mtangazaji: Role model wako
Chasambi: Kwenye timu yangu
Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa
Chasambi: Kwenye timu yangu hapana, hakuna (anatikisa kichwa kukataa)
Mtangazaji: Kokote
Yaani timu nzima hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo. Yaani timu nzima ikiwepo Tshabalala na Kapombe? Maana hapa hukuulizwa kuhusu nafasi anayocheza. Yaani hata watu wanaopambana kufa na kupona kina Fabrice Ngoma sio kioo kwake. Hata kama, ndio utaje mchezaji wa Yanga?!!!! Iko wapi Ubaya Ubwela.
Amewadharau wachezaji wenzake wote kwa kusema hakuna mchezaji anayeweza kumtazama kama kioo na hakuna anachojifunza kwao.
Dogo nafikiri Simba na Yanga hazijui vizuri
Kikosi cha kwanza cha Lionel Messi kina Cristiano Ronaldo ndani yake, hayo ni mawazo binafsi ya mchezaji mwenyewe na hakuna mwenye haki ya kumpangia wala kumuingilia.Kwani yeye angesema anamkubali max kungekuwa na shida gani, kuliko kuweka maneno mengine, huko nyuma aliwahi mtaja Max na hakukuwa na haya maneno
Kosa lake ni lipi?Mambo kayakuza mwenyewe