Tetesi: Chasambi kutua Singida Black Stars dirisha kubwa

Tetesi: Chasambi kutua Singida Black Stars dirisha kubwa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Inadaiwa kuwa Management ya mchezaji Chasambi ipo katika mazungumzo na SBS ili kumsajili winga Chasambi

Chasambi hana amani Simba, amekuwa akiandamwa na mashabiki wa timu hiyo kuwa anawachoma

Chasambi anaonekana wazi kuwa kimwili yupo Simba ila moyoni Kuna timu ya ndoto zake anataka kucheza

SBS ni stoo ya Yanga, muda wote Yanga anachukia mali hapo

Toka lini mchezaji kutoka Morogoro akaipenda Simba, hamkujua kuwa watu wa Morogoro wote Yanga

Tunakutakia heri Chasambi huko SBS na baadaye uje timu yako ya moyoni
 
Chasambi ni mchezaji wenu,tena kinda kabisa,mkianza kutoa hao makinda ambao watawaletea impact misimu mitano ijayo basi mtakuwa mnapotea ktk lengo lenu mama, kwanza bado mnajenga team na wachezaji bado makinda. Chasambi,mutale,balua,ahoua,wote hao ni under 23.
 
Mi ni uto og ila jana dogo Chasambi alikuwa moto sana na ameanza kufanana kiuchezaji na max, alistahili kuwa man of the match, hana kosa lolote Camara aliomba mpira ukatumwa akaushindwa , angalia picha za marejeo Camara alinyanyua mikono kuomba mpira,

Dogo yuko vizuri aende SBS kisha Yanga ,mbona Israh yuko Yanga , mchezaji timu yoyote home tu
 
Back
Top Bottom