matemabi
Senior Member
- May 2, 2017
- 113
- 145
Leo nimeamka katika pita pita zangu za kusoma na kupata vitu vipya katika maswala ya akili mmnemba nikagundua kwamba kupitia ChatGPT sasa unaweza kuongea nayo na ikakujibu kila aina ya swala utakalo uliza na kwa sasa ni bure kabisaaa... ambayo zamani ulitakiwa kulipia ambapo baadhi yetu ilikuwa inatukatisha tamaa hivi mana tunape da mleleko...
Sasa mseleleko umetufikia...
Ipo hivi, kwa kuongea na chatGPT unaweza kuifanya kuwa business consultant, financial, relationships au mambo mengine. Imagine kama utakuwa na haja ya kwenda kwa watu wenye biashara hizo na wakati wewe unaweza kuuliza kwenye akili mnemba hapo hapo na ukapata jibu right away.
Unaweza kuuliza maswali zaidi na kufanya reasoning ya kutosha kupata logic and guidance on what to do.
Anyways dunia ina evolve sana...
Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Sasa mseleleko umetufikia...
Ipo hivi, kwa kuongea na chatGPT unaweza kuifanya kuwa business consultant, financial, relationships au mambo mengine. Imagine kama utakuwa na haja ya kwenda kwa watu wenye biashara hizo na wakati wewe unaweza kuuliza kwenye akili mnemba hapo hapo na ukapata jibu right away.
Unaweza kuuliza maswali zaidi na kufanya reasoning ya kutosha kupata logic and guidance on what to do.
Anyways dunia ina evolve sana...
Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app