The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Sasa hali si hali kambi ya mgombea Urais - CCM Mzee Pombe Magufuli.
Chato Airport ya kijijini na shambani kwake inamtesa yeye, inawatesa CCM wote maana haina utetezi wenye macho na akili watu wakaelewa.
Sasa kama kujifariji na kujidanganya, kila mahali anapopita anamwaga ahadi za kujenga Chato Airports kote kote.
Katoa ahadi ya kuwajengea Chato International Airport wana Njombe....!!
Katoa ahadi ya kuwajengea CHATO AIRPORT wana Kigoma...!!
Katoa ahadi ya kuwajengea nao CHATO AIRPORT wana Bukoba, Karangwe na kotekote anakopita....!!
Leo tena ahadi ni za kujenga CHATO AIRPORT ni za kumwaga kila mji na kijiji atakachopita.
Ukistaajabu ya Mussa, basi subiri uyaone ya Firauni. Huyu ndiye Magufuli bwana, msukuma jeuri asiyejali chochote....!!
Chato Airport kweli ni kaa la moto, halizimiki hata kuleta kikosi cha Zimamoto cha Ukonga...
Kuzimika kwake, ni mtu kufukuzwa atoke kwenye ofisi za umma, baaaaasi....
Chato Airport ya kijijini na shambani kwake inamtesa yeye, inawatesa CCM wote maana haina utetezi wenye macho na akili watu wakaelewa.
Sasa kama kujifariji na kujidanganya, kila mahali anapopita anamwaga ahadi za kujenga Chato Airports kote kote.
Katoa ahadi ya kuwajengea Chato International Airport wana Njombe....!!
Katoa ahadi ya kuwajengea CHATO AIRPORT wana Kigoma...!!
Katoa ahadi ya kuwajengea nao CHATO AIRPORT wana Bukoba, Karangwe na kotekote anakopita....!!
Leo tena ahadi ni za kujenga CHATO AIRPORT ni za kumwaga kila mji na kijiji atakachopita.
Ukistaajabu ya Mussa, basi subiri uyaone ya Firauni. Huyu ndiye Magufuli bwana, msukuma jeuri asiyejali chochote....!!
Chato Airport kweli ni kaa la moto, halizimiki hata kuleta kikosi cha Zimamoto cha Ukonga...
Kuzimika kwake, ni mtu kufukuzwa atoke kwenye ofisi za umma, baaaaasi....