evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Sawa mkuu.Upinzani ulisha kufa tangu 2015, kilichobaki ni futuhi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alishaweka traffic lights kijijini ambako hakuna magari. Sasa hivi wasukuma wanazishangaa zikibadili rangi .
Geita to Chato ni 171kmNi katika barabara itokayo Geita kwenda Chato? Ni kweli bora ungejengwa Geita
Long wayGeita to Chato ni 171km
Kama vile vile walivyokuwa wakiyashangaa 'ma Bugando' ya jijini DarAlishaweka traffic lights kijijini ambako hakuna magari. Sasa hivi wasukuma wanazishangaa zikibadili rangi .
Duuuh1Iringa alisema atawanunulia ndege za kubebea ulanzi.
Wasukuma Ni mashemeji wazuri tatizo lao ushamba. Wanapenda sana kushangaaKama vile vile walivyokuwa wakiyashangaa 'ma Bugando' ya jijini Dar