Chato, Geita: Rais Yoweri Museven aenda kuweka Shada la Maua kwenye Kaburi la Hayati Magufuli

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu

Rais Museven wa Uganda, atembelea Chato.

Kwenye Ziara hiyo, atatembelea Kaburi la Hayati Magufuli, atatembelea Shule ya Museveni aloijenga Chato kama msaada kwa Wananchi wa Chato, Pia atamtembelea Mjane wa Hayati Magufuli


Hayati Magufuli alifariki siku ya Jumatano jioni 17.03.2021 kutokana na maradhi ya moyo katika hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam, ambapo Rais wa Uganda Yoweri Museveni alituma salamu za rambirambi huku akisema Rais Magufuli alikuwa kiongozi ambaye anaongoza kwa uhalisia na aliyeamini katika kukuza uchumi wa Afrika Mashariki. "Tunajumuika na Watanzania kuomboleza kifo cha mtoto wa Afrika". Museveni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…