Chato ni Wilaya pekee nje ya Dar iliyotembelewa na Marais na Viongozi mashuhuri wa dunia, ni halali kuifanya mkoa sasa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Marais waliowahi kuitembelea Chato ni pamoja na yule wa Ethiopia, Uganda, Rwanda, Kenya, Msumbiji, Sudan kusini, Burundi na Zanzibar.

Viongozi wengine wa kidunia ni pamoja na Waziri wa mambo ya nje wa China na Raila Odinga wa Kenya.

Pia mh Tundu Lisu kutokea Ubelgiji ambaye alikuja kugombea urais wa JMT alitembelea wilaya ya Chato mara mbili wakati wa kampeni.

Tuache nongwa Chato iwe mkoa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ukisema Arusha ambayo hadi Rais wa Marekani George bush amewahi kufika, bila kusahau EAC ipo pale na zamani mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita
 
Pia ni wilaya pekee nchini ambapo zipo taa za barabarani zinazoongoza punda.
 
Hhahahah Umesema kweli ila watakuloga humu . JF kuna walozi.
 


Daah, kwa hiyo Kijiji Cha Mwitongo kiwe Jiji au Manispaa?

Sidhani kama idadi na aina ya wageni inatosha kuamua hilo unalotaka.
 

ukishavimbiwa kande, unaadika tu bila kutumia kichwa?
kwani lazma kila siku uanzishe uzi kama huna la kuandika bwashee?

huoni ni matumizi mabaya ya pesa za serikali?
 
Broo leo umekula nini? Mbona unajamba sana?
 
Haya nayo ni mataifa au ni takataka?
 
Hahahahaahahaa!!! Naona leo Kitimoto aka kitiwinya umeamua kutembeza dislike kila comment. Weka hako ka red devil na hapa…
 
Kwa hiyo ni ujumbe Gani unataka kuufikishamo John🤔.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…