Chato ni Wilaya yenye makabila mengi kuliko wilaya yoyote nchini

Chato ni Wilaya yenye makabila mengi kuliko wilaya yoyote nchini

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ikumbuke wilaya hii sehemu kubwa ilikuwa mkoa wa Kagera Wilaya ya Biharamulo, pia sehemu ya mkoa wa Mwanza wilaya ya Geita, namaanisha maeneo ya kata ya Buseresere na Rumasa.

Back to the point wilaya hii ina makabila kama Waha, Wasukuma, Wasumbwa, Wasubi, Washubiwazinza, Warundi, Wahaya, Wahangaza na kila mmoja hujiona yupo kwao.
 
Ikumbuke wilaya hii sehemu kubwa ilikuwamkoa wa kagera wilaya ya biharamulo,pia sehemu ya mkoa wa mwanza wilaya ya Geita,namaanisha maeneo ya kata ya buseresere na rumasa.
Back to the point wilaya hii ina makabila kama ,waha,wasukuma,wasumbwa,wasubi,Washubiwazinza,warundi,wahaya,wahangaza.na kila mmoja hujiona yupo kwao,si ajabu bwana yule aliitwa mrundi,maana kutoka chato mpaka burudi hata kwa pikipiki unafika
Kuna kabila linaloitwa 'warundi' nchini?
 
Sehemu kubwa ya wakazi wa wilaya hiyo wana uraia wa kuungaunga.
Wengi wao wamekimbia nchi zao za asili kwa sababu ya vita na ubaguzi wa kikabila.
 
Ikumbuke wilaya hii sehemu kubwa ilikuwa mkoa wa Kagera Wilaya ya Biharamulo, pia sehemu ya mkoa wa Mwanza wilaya ya Geita, namaanisha maeneo ya kata ya Buseresere na Rumasa.

Back to the point wilaya hii ina makabila kama Waha, Wasukuma, Wasumbwa, Wasubi, Washubiwazinza, Warundi, Wahaya, Wahangaza na kila mmoja hujiona yupo kwao.
Labda ukiexclude wilaya zote za dar
 
Ikumbuke wilaya hii sehemu kubwa ilikuwa mkoa wa Kagera Wilaya ya Biharamulo, pia sehemu ya mkoa wa Mwanza wilaya ya Geita, namaanisha maeneo ya kata ya Buseresere na Rumasa.

Back to the point wilaya hii ina makabila kama Waha, Wasukuma, Wasumbwa, Wasubi, Washubiwazinza, Warundi, Wahaya, Wahangaza na kila mmoja hujiona yupo kwao.
Warundi ni kabila mkuu?
 
Ikumbuke wilaya hii sehemu kubwa ilikuwa mkoa wa Kagera Wilaya ya Biharamulo, pia sehemu ya mkoa wa Mwanza wilaya ya Geita, namaanisha maeneo ya kata ya Buseresere na Rumasa.

Back to the point wilaya hii ina makabila kama Waha, Wasukuma, Wasumbwa, Wasubi, Washubiwazinza, Warundi, Wahaya, Wahangaza na kila mmoja hujiona yupo kwao.
Nadhani kwa Tanzania Wilaya inayoongoza ni Musoma. Ina makabila mengi na ni wazawa sio wahamiaji Kama chato.
 
Back to the point wilaya hii ina makabila kama Waha, Wasukuma, Wasumbwa, Wasubi, Washubiwazinza, Warundi, Wahaya, Wahangaza na kila mmoja hujiona yupo kwao.
Okay ndio maana nchi ilitawaliwa na Mrundi wakati flani.
 
Nadhani kwa Tanzania Wilaya inayoongoza ni Musoma. Ina makabila mengi na ni wazawa sio wahamiaji Kama chato.
Zile ni koo sio kabila,msoma wana koo zonazokaribia kuwa kabila
 
Hata dar wapo wazawa wa makabila yote ya afrika mashariki sio bongo tu, huwezi linganisha na chato...
Dar wazawa ni wazaramo hakuna kabila lingine kama lipo nitajie ,usinitajie wahamiaji
 
Ikumbuke wilaya hii sehemu kubwa ilikuwa mkoa wa Kagera Wilaya ya Biharamulo, pia sehemu ya mkoa wa Mwanza wilaya ya Geita, namaanisha maeneo ya kata ya Buseresere na Rumasa.

Back to the point wilaya hii ina makabila kama Waha, Wasukuma, Wasumbwa, Wasubi, Washubiwazinza, Warundi, Wahaya, Wahangaza na kila mmoja hujiona yupo kwao.
Umefikiria nini kuandika haya siku ya leo?
 
Ikumbuke wilaya hii sehemu kubwa ilikuwa mkoa wa Kagera Wilaya ya Biharamulo, pia sehemu ya mkoa wa Mwanza wilaya ya Geita, namaanisha maeneo ya kata ya Buseresere na Rumasa.

Back to the point wilaya hii ina makabila kama Waha, Wasukuma, Wasumbwa, Wasubi, Washubiwazinza, Warundi, Wahaya, Wahangaza na kila mmoja hujiona yupo kwao.
Kama hakuna mmakonde huko basi taarifa hii haipendezi........wapo kila sehemu.
 
Ikumbuke wilaya hii sehemu kubwa ilikuwa mkoa wa Kagera Wilaya ya Biharamulo, pia sehemu ya mkoa wa Mwanza wilaya ya Geita, namaanisha maeneo ya kata ya Buseresere na Rumasa.

Back to the point wilaya hii ina makabila kama Waha, Wasukuma, Wasumbwa, Wasubi, Washubiwazinza, Warundi, Wahaya, Wahangaza na kila mmoja hujiona yupo kwao.
Sio Chato pekee bali Geita nzima ni kwa Wazinza.
 
Back
Top Bottom