Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kuna vitu bila kujitoa akili huwezi kufanya
yaani kijana barobaro na akili zako unapita na kuhamasisha watu kuchagua ubwabwa!
Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
=====
Chama cha Ukombozi wa Umma, CHAUMMA, Mkoani Mbeya, kimebuni mbinu mpya ya kufanya kambeni za Uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa kwa wagombea wake na viongozi kuwafuata wananchi kwenye meneo yao na kutumia vipaza sauti kuomba kura badala ya kufanya mikutano ya kampeni kama ilivyozoeleka.
Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Huku sera yao kama kaiwaida ni ubwabwa, kwamba huwezi kufanya maendeleo bila kushiba!
Soma Pia:
Kuna vitu bila kujitoa akili huwezi kufanya
yaani kijana barobaro na akili zako unapita na kuhamasisha watu kuchagua ubwabwa!Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
=====
Chama cha Ukombozi wa Umma, CHAUMMA, Mkoani Mbeya, kimebuni mbinu mpya ya kufanya kambeni za Uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa kwa wagombea wake na viongozi kuwafuata wananchi kwenye meneo yao na kutumia vipaza sauti kuomba kura badala ya kufanya mikutano ya kampeni kama ilivyozoeleka.
Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Huku sera yao kama kaiwaida ni ubwabwa, kwamba huwezi kufanya maendeleo bila kushiba!
Soma Pia:
- Hashim Rungwe ashinda uenyekiti CHAUMMA kwa mara ya tatu, aahidi kushikilia sera yake ya ubwabwa mashuleni kwenye uchaguzi 2025
- Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024