Pre GE2025 Chaumma inaweza kupata kura nyingi zaidi za urais kuliko chama kingine chochote cha upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Pre GE2025 Chaumma inaweza kupata kura nyingi zaidi za urais kuliko chama kingine chochote cha upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kasumba ya kushughulikiana na kukomoana hususan ndani ya vyama vya upinzani nchini itaendelea hadi kwenye sanduku la kura za jumla uchaguzi mkuu wa October 2025.

Kuna wagombea watakomolewa na wafuasi wa vyama vyao, hawatapigiwa kura kwasasababu tu ya midomo yao, makelele yao, hila zao, upendeleo na chuki zoa dhidi ya wenye maoni na mtazamo tofauti dhidi yao hapo kabla.

CHAUMA inaweza kufanya vizuri zaidi kama chama cha upinzani nchini, kilicho na amani na umoja wa kuaminika ndani yake, ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani nchini ambavyo hakuna umoja wala amani ndani yake bali chuki, migawanyiko na uhasama.

Wanachama wa upinzani wanajipanga kukomoana kadiri ya makundi yao ndani ya vyama vyao dhidi ya mgombea wao mwenyewe.

Je,
hii ina afya kwa ustawi wa demokrasia ndani ya vyama vya siasa kweli? Na je, ni wakati muafaka sasa falsafa ya 4Rs za Dr. Samia Suluhu Hassan ndio ikatumika kama muarobaini wa kutibu majeraha ya migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya vyama vya siasa nchini, na hiyo falsafa ya maridhiano ikatumika bila kuona aibu wala kificho?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
 
Kasumba ya kushughulikiana na kukomoana hususan ndani ya vyama vya upinzani nchini itaendelea hadi kwenye sanduku la kura za jumla uchaguzi mkuu wa October 2025.

Kuna wagombea watakomolewa na wafuasi wa vyama vyao, hawatapigiwa kura kwasasababu tu ya midomo yao, makelele yao, hila zao, upendeleo na chuki zoa dhidi ya wenye maoni na mtazamo tofauti dhidi yao hapo kabla.

CHAUMA inaweza kufanya vizuri zaidi kama chama cha upinzani nchini, kilicho na amani na umoja wa kuaminika ndani yake, ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani nchini ambavyo hakuna umoja wala amani ndani yake bali chuki, migawanyiko na uhasama.

Wanachama wa upinzani wanajipanga kukomoana kadiri ya makundi yao ndani ya vyama vyao dhidi ya mgombea wao mwenyewe.

Je,
hii ina afya kwa ustawi wa demokrasia ndani ya vyama vya siasa kweli? Na je, ni wakati muafaka sasa falsafa ya 4Rs za Dr. Samia Suluhu Hassan ndio ikatumika kama muarobaini wa kutibu majeraha ya migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya vyama vya siasa nchini, na hiyo falsafa ya maridhiano ikatumika bila kuona aibu wala kificho?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Huu utabiri unafanana na ule uliotoa Kwa Mr Odero!! Kwamba kama angeshindwa Mjomba wako Mbowe basi Odero ndo angeshinda.

In sonona Sugu
 
Kasumba ya kushughulikiana na kukomoana hususan ndani ya vyama vya upinzani nchini itaendelea hadi kwenye sanduku la kura za jumla uchaguzi mkuu wa October 2025.

Kuna wagombea watakomolewa na wafuasi wa vyama vyao, hawatapigiwa kura kwasasababu tu ya midomo yao, makelele yao, hila zao, upendeleo na chuki zoa dhidi ya wenye maoni na mtazamo tofauti dhidi yao hapo kabla.

CHAUMA inaweza kufanya vizuri zaidi kama chama cha upinzani nchini, kilicho na amani na umoja wa kuaminika ndani yake, ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani nchini ambavyo hakuna umoja wala amani ndani yake bali chuki, migawanyiko na uhasama.

Wanachama wa upinzani wanajipanga kukomoana kadiri ya makundi yao ndani ya vyama vyao dhidi ya mgombea wao mwenyewe.

Je,
hii ina afya kwa ustawi wa demokrasia ndani ya vyama vya siasa kweli? Na je, ni wakati muafaka sasa falsafa ya 4Rs za Dr. Samia Suluhu Hassan ndio ikatumika kama muarobaini wa kutibu majeraha ya migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya vyama vya siasa nchini, na hiyo falsafa ya maridhiano ikatumika bila kuona aibu wala kificho?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
🤣🤣🤣 ! Ebu kuwa sriaz Chauma hii ya sera yao ya ubwabwa? Wapate kura nying
 
Kasumba ya kushughulikiana na kukomoana hususan ndani ya vyama vya upinzani nchini itaendelea hadi kwenye sanduku la kura za jumla uchaguzi mkuu wa October 2025.

Kuna wagombea watakomolewa na wafuasi wa vyama vyao, hawatapigiwa kura kwasasababu tu ya midomo yao, makelele yao, hila zao, upendeleo na chuki zoa dhidi ya wenye maoni na mtazamo tofauti dhidi yao hapo kabla.

CHAUMA inaweza kufanya vizuri zaidi kama chama cha upinzani nchini, kilicho na amani na umoja wa kuaminika ndani yake, ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani nchini ambavyo hakuna umoja wala amani ndani yake bali chuki, migawanyiko na uhasama.

Wanachama wa upinzani wanajipanga kukomoana kadiri ya makundi yao ndani ya vyama vyao dhidi ya mgombea wao mwenyewe.

Je,
hii ina afya kwa ustawi wa demokrasia ndani ya vyama vya siasa kweli? Na je, ni wakati muafaka sasa falsafa ya 4Rs za Dr. Samia Suluhu Hassan ndio ikatumika kama muarobaini wa kutibu majeraha ya migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya vyama vya siasa nchini, na hiyo falsafa ya maridhiano ikatumika bila kuona aibu wala kificho?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Haaahaa
 
Kasumba ya kushughulikiana na kukomoana hususan ndani ya vyama vya upinzani nchini itaendelea hadi kwenye sanduku la kura za jumla uchaguzi mkuu wa October 2025.

Kuna wagombea watakomolewa na wafuasi wa vyama vyao, hawatapigiwa kura kwasasababu tu ya midomo yao, makelele yao, hila zao, upendeleo na chuki zoa dhidi ya wenye maoni na mtazamo tofauti dhidi yao hapo kabla.

CHAUMA inaweza kufanya vizuri zaidi kama chama cha upinzani nchini, kilicho na amani na umoja wa kuaminika ndani yake, ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani nchini ambavyo hakuna umoja wala amani ndani yake bali chuki, migawanyiko na uhasama.

Wanachama wa upinzani wanajipanga kukomoana kadiri ya makundi yao ndani ya vyama vyao dhidi ya mgombea wao mwenyewe.

Je,
hii ina afya kwa ustawi wa demokrasia ndani ya vyama vya siasa kweli? Na je, ni wakati muafaka sasa falsafa ya 4Rs za Dr. Samia Suluhu Hassan ndio ikatumika kama muarobaini wa kutibu majeraha ya migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya vyama vya siasa nchini, na hiyo falsafa ya maridhiano ikatumika bila kuona aibu wala kificho?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Inaelekea CCM inaandaa CHAUMA maana nadokezwa kuwa kuna vingunge watajiondoa. Kwakuwa Mbowe sio Mwenyekiti wa CHADEMA na hawamuamini Lisu basi chaguo litakuwa CHAUMA.
 
Inaelekea CCM inaandaa CHAUMA maana nadokezwa kuwa kuna vingunge watajiondoa. Kwakuwa Mbowe sio Mwenyekiti wa CHADEMA na hawamuamini Lisu basi chaguo litakuwa CHAUMA.
kwahiyo CHAUMA inaelekea kua ni tishio kwa Chadema pekee au kwa vyama vyote vya upinzani nchini?🐒
 
Kasumba ya kushughulikiana na kukomoana hususan ndani ya vyama vya upinzani nchini itaendelea hadi kwenye sanduku la kura za jumla uchaguzi mkuu wa October 2025.

Kuna wagombea watakomolewa na wafuasi wa vyama vyao, hawatapigiwa kura kwasasababu tu ya midomo yao, makelele yao, hila zao, upendeleo na chuki zoa dhidi ya wenye maoni na mtazamo tofauti dhidi yao hapo kabla.

CHAUMA inaweza kufanya vizuri zaidi kama chama cha upinzani nchini, kilicho na amani na umoja wa kuaminika ndani yake, ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani nchini ambavyo hakuna umoja wala amani ndani yake bali chuki, migawanyiko na uhasama.

Wanachama wa upinzani wanajipanga kukomoana kadiri ya makundi yao ndani ya vyama vyao dhidi ya mgombea wao mwenyewe.

Je,
hii ina afya kwa ustawi wa demokrasia ndani ya vyama vya siasa kweli? Na je, ni wakati muafaka sasa falsafa ya 4Rs za Dr. Samia Suluhu Hassan ndio ikatumika kama muarobaini wa kutibu majeraha ya migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya vyama vya siasa nchini, na hiyo falsafa ya maridhiano ikatumika bila kuona aibu wala kificho?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Gentleman unatoanwapi vichekesho hivi gentleman??🚴🚴🚴🚴🤣🤣🤣
 
Kasumba ya kushughulikiana na kukomoana hususan ndani ya vyama vya upinzani nchini itaendelea hadi kwenye sanduku la kura za jumla uchaguzi mkuu wa October 2025.

Kuna wagombea watakomolewa na wafuasi wa vyama vyao, hawatapigiwa kura kwasasababu tu ya midomo yao, makelele yao, hila zao, upendeleo na chuki zoa dhidi ya wenye maoni na mtazamo tofauti dhidi yao hapo kabla.

CHAUMA inaweza kufanya vizuri zaidi kama chama cha upinzani nchini, kilicho na amani na umoja wa kuaminika ndani yake, ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani nchini ambavyo hakuna umoja wala amani ndani yake bali chuki, migawanyiko na uhasama.

Wanachama wa upinzani wanajipanga kukomoana kadiri ya makundi yao ndani ya vyama vyao dhidi ya mgombea wao mwenyewe.

Je,
hii ina afya kwa ustawi wa demokrasia ndani ya vyama vya siasa kweli? Na je, ni wakati muafaka sasa falsafa ya 4Rs za Dr. Samia Suluhu Hassan ndio ikatumika kama muarobaini wa kutibu majeraha ya migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya vyama vya siasa nchini, na hiyo falsafa ya maridhiano ikatumika bila kuona aibu wala kificho?[emoji205]

Mungu Ibarki Tanzania
Hakika aliyewaita UTOPWINYO aliwaza mbali sana
 
Back
Top Bottom